Makuzamkumbo
JF-Expert Member
- Mar 8, 2023
- 501
- 514
Sasa ndiyo Nini kumpanga kipa namba tatu gem ya mtani kama siyo dharau?
Eti unampanga Mzee Nyoni pale kati huwaogopi kina azizi ki aucho kina msondongoma jamani halafu tulishawaambia Mzee onyango ni uchochoro Toka gem za raja ila mnatupuuza
Halafu tulishaapa huyo Rasta man wenu hatajakaa awafunge nyoka nyoka hua anafunga timu mbovu tu ila bado mkampanga? Asee mbona tunachukuliana poa sana acheni dharau basi viazi nyie
Halafu nyie vyura wa jangwani mkaomba apangwe Babu onyango Ili mpate uchochoro kama Raja tatizo mkasahau kwamba nyie sio Raja sasa
Mliogongwa kubalini tu mmebongolewa maneno mengi ya nini sasa? Eti goli la kwanza sio halali kisa haikua Kona Kwa hiyo wachezaji wenu walisusa kumdhibiti huyo mhuni Inonga kisa Kona haikua halali?
Halafu mnajisahau sana nyoko nyie gem yenu na azam Kona iliyowapeni goli la kwanza ilikua halali? Mlilalamika?
Gem yenu na Geita CCM kirumba penati mliyozawadiwa na refa mkapata goli ilikua halali? Mlilalamika?
Vipi gem na kagera sugar huko kaitaba goli mlilozawadiwa lilikua halali?
Au ndio kupanda apande ng'ombe akipanda punda anaumiza kisa lirungu lake likubwa sana
Simba acheni dharau sijapenda
Misukule acheni kulialia kubalini tu mmebongolewa huo ndio ukweli na hautabadilika kamwe.
Kibuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Eti unampanga Mzee Nyoni pale kati huwaogopi kina azizi ki aucho kina msondongoma jamani halafu tulishawaambia Mzee onyango ni uchochoro Toka gem za raja ila mnatupuuza
Halafu tulishaapa huyo Rasta man wenu hatajakaa awafunge nyoka nyoka hua anafunga timu mbovu tu ila bado mkampanga? Asee mbona tunachukuliana poa sana acheni dharau basi viazi nyie
Halafu nyie vyura wa jangwani mkaomba apangwe Babu onyango Ili mpate uchochoro kama Raja tatizo mkasahau kwamba nyie sio Raja sasa
Mliogongwa kubalini tu mmebongolewa maneno mengi ya nini sasa? Eti goli la kwanza sio halali kisa haikua Kona Kwa hiyo wachezaji wenu walisusa kumdhibiti huyo mhuni Inonga kisa Kona haikua halali?
Halafu mnajisahau sana nyoko nyie gem yenu na azam Kona iliyowapeni goli la kwanza ilikua halali? Mlilalamika?
Gem yenu na Geita CCM kirumba penati mliyozawadiwa na refa mkapata goli ilikua halali? Mlilalamika?
Vipi gem na kagera sugar huko kaitaba goli mlilozawadiwa lilikua halali?
Au ndio kupanda apande ng'ombe akipanda punda anaumiza kisa lirungu lake likubwa sana
Simba acheni dharau sijapenda
Misukule acheni kulialia kubalini tu mmebongolewa huo ndio ukweli na hautabadilika kamwe.
Kibuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu