Mtakatifu Joseph
Member
- Dec 27, 2012
- 17
- 3
Mimi ni nilikuwa karani wa sensa ya watu na makazi iliyofanyika2012.Napenda kueleza kwa masikitiko makubwa dhuluma tuyofanyiwa sisi makarani wa sensa katika mji mdogo wa Orkesumet-simanjiro ya sh.70,000/=tuliyopunjwa bila sababu hadi leo hatujalipwa