Simanjiro tumedhulumiwa fedha za sensa.

Simanjiro tumedhulumiwa fedha za sensa.

Joined
Dec 27, 2012
Posts
17
Reaction score
3
Mimi ni nilikuwa karani wa sensa ya watu na makazi iliyofanyika2012.Napenda kueleza kwa masikitiko makubwa dhuluma tuyofanyiwa sisi makarani wa sensa katika mji mdogo wa Orkesumet-simanjiro ya sh.70,000/=tuliyopunjwa bila sababu hadi leo hatujalipwa
 
Pole sana karani mwenzangu, mie nimetoka nao ngoma droo, kuna madodoso sikuwarudishia waliponiyeyusha mshiko afu eti wanazindua takwimu...my foot
 
Back
Top Bottom