Sikukuu ya mwaka mpya yapigwa marufuku Korea Kaskazini

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,579
44,823
Sikukuu ya mwaka mpya yapigwa marufuku Korea Kaskazini


Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-Un amepiga marufuku sherehe za Krismasi na mwaka mpya kusherekewa nchini humo


Hata katika sherehe za Krisimas, Kwa mujibu wa habari ya India Times ni kuwa badala ya kusherekea kuzaliwa kwa Yesu kulingana na imani ya wakristo,raia nchini humu walitenga siku hiyo kumuenzi bibi ya Kim .


Kim ambaye pia ni mwanaharakati wa kikomunisti amefahamisha kuwa bibi yake atatambulika kuwa 'Mama mtakatifu wa mabadiliko'



 
Hivi huyu ni mnene au mbona simuelewi.Je inamaana yeye sio Komandoo kama Putin?I mean kwa mwili huo yuko fit?
 
walitakiwa wakorea wadai kumpa huyo bibi yako utakatifu na sio wewe mjukuu
lkn sio mbaya kwa kkuwa hainihusu
 
Source India times

Kwanini isiwe TV,radio au gazeti ya North Korea???
 
Safi Sana, good leadership. Kwa nini mnamlaumu wakati wengine hawana Christmas kwenye madhehebu Yao, wengine wanasheherekea January 6,7. Nampongeza Kwa kufuta Christmas.
 
Tusishangae sana huko ndio tunakoelekea si hata sherehe za Uhuru zilifutwa?
 
Safi Sana, good leadership. Kwa nini mnamlaumu wakati wengine hawana Christmas kwenye madhehebu Yao, wengine wanasheherekea January 6,7. Nampongeza Kwa kufuta Christmas.
Mkuu hajafuta chrismas, amefuta sherehe za chrismas.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…