ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,579
- 44,823
Mapokeo ya kimagharibi, sisi waafika ni zoa zoa tuSioni tatizo lake.....sikukuu yenyewe ya X mas haipo kwenye biblia
Ht luhusu mwaka mpya ni juu yao
Taifa huru
Hata bpxing day na miti ya X mas tumeiga tu hatujui chimbuko lakeMapokeo ya kimagharibi, sisi waafika ni zoa zoa tu
Yule jambazi WA Dom?Ila jina lako linanikumbusha jamaa mmoja mbeya miaka ya nyuma alikuwa anaitwa ndege john,au ni wewe mkuu??
Mkuu hajafuta chrismas, amefuta sherehe za chrismas.Safi Sana, good leadership. Kwa nini mnamlaumu wakati wengine hawana Christmas kwenye madhehebu Yao, wengine wanasheherekea January 6,7. Nampongeza Kwa kufuta Christmas.
Hazikufutwa sherehe bali maazimisho ya gwaride uwanja wa uhuru lkn sherehe zilifanyika kwa kufanya usafi.Tusishangae sana huko ndio tunakoelekea si hata sherehe za Uhuru zilifutwa?
Afadhali hawa kuliko yule uchwaraUdikteta
Mbowe =Kim