Siku za malori Dar zahesabika

Siku za malori Dar zahesabika

Hasabu kila nikipiga haiingii akilini?

Yaani nikipiga bei halisi ya chuma chakavu kwa kilo moja ikapelekwa kiwandani ikachomwa kikatoka chuma cha rail kikatandazwa chini kwa kilometa moja huku na huku yaani pair moja kokoto zipo pale pale tuta lipo pale pale either kuongezea kokoto nyingine au kuweka kokoto zingine mpya na zege ya kubebea rail ni kama ufyatuaji tena tunatumia cement ya Dangote bei rahisi au zile zetu za miaka yote simba,Twiga,Nyati n.k ndani ya zege kuna nondo za milimita kadhaa ukikusanya hizo gharama unapata dollar million 3.5 hadi 4??? nadhani ufundi ndio bei juu kuliko Gharama halisi... au mimi Sielewi siasa?

Kile Chuma cha reli kinaitwa HMS1 au HMS2, fuatilia ujue kama kinatengenezwa na chuma Chakavu cha kuokota mtaani Kama nondo, yawezekana ni bei mbaya sana mkuu!
 
Hasabu kila nikipiga haiingii akilini?

Yaani nikipiga bei halisi ya chuma chakavu kwa kilo moja ikapelekwa kiwandani ikachomwa kikatoka chuma cha rail kikatandazwa chini kwa kilometa moja huku na huku yaani pair moja kokoto zipo pale pale tuta lipo pale pale either kuongezea kokoto nyingine au kuweka kokoto zingine mpya na zege ya kubebea rail ni kama ufyatuaji tena tunatumia cement ya Dangote bei rahisi au zile zetu za miaka yote simba,Twiga,Nyati n.k ndani ya zege kuna nondo za milimita kadhaa ukikusanya hizo gharama unapata dollar million 3.5 hadi 4??? nadhani ufundi ndio bei juu kuliko Gharama halisi... au mimi Sielewi siasa?
Hivi vitu vipo online, jisomee tu ujue. No ghali sana kujenga reli, sio vyuma na kokoto pekee mkuu...engineering is not as simple as a b c....
RAIL CONSTRUCTION COSTS
 
Kile Chuma cha reli kinaitwa HMS1 au HMS2, fuatilia ujue kama kinatengenezwa na chuma Chakavu cha kuokota mtaani Kama nondo, yawezekana ni bei mbaya sana mkuu!
Mkuu HMS1 nimeona kwa bei ya used rail in Dollar 200 kwa Tani moja ni sawa na laki nne na arobaini hivi za tanzania so kwa bei ya chuma kipya i mean kilichoyayushwa na kuundwa upya bado sijajua kwa hesabu hizo tuseme kwa chuma kipya tuseme kiwe bei double au triple tuseme bei iwe million moja na nusu kwa rail yenye uzito wa tani moja na rail ya kujaza km 1 inaweza fikia cost ya dollar million 3.5 ??? ambazo ni sawa na zaidi ya tsh billion 7 au nane? yaani hapo kokoto ujenzi wa tuta utaaramu mafundi network stesheni na cabin na kichwa kwa pamoja bado haitofika bei hiyo ni too much na kwa mikataba yetu utaambiwa ununue mabehewa na vichwa pia yaani utaambiwa hizo gharama ni rail pekee
 
Ukitaka kujua Uongo wa Mafundi waambie wakupe orodha ya mahitaji na vifaa vyote kisha nenda wewe mwenyewe Dukani au popote pale vinapopatikana kusanya vyote and then muwekee pale vyote na usimamie kazi wewe mwenyewe utaona either atakimbia au atakuzungusha ali mradi uchoke umuache maana... Bei zao kwanza huwa ni za ajabu and then vingine havihitajiki kwani havina ulazima au vipo eneo hilo hilo...

Hesabu za Mafundi siku zote huwa ni Double au triple STUKA.
 
Back
Top Bottom