Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,545
- 63,023
Hahaaa.yani wakiwa wanaandika nahic kama wanakosea ivi
Hatukosei mkuu
Hahaaa.yani wakiwa wanaandika nahic kama wanakosea ivi
Ngoja tulale...Kheri ya sikukuu yetu watu wa mashoto Duniani
Kwangu ndio uzi bora kutoka kwa mkuu barafu
Wale mashoto wengine ambao hawakupata nafasi kuiona hii post waje watoe experience zao hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo bakora nikikumbuka naumia sana hata wakati wa kuandika darasani nakumbuka mwalimu wa somo la hisabati kila akiingia darasani anaanza na mimi.Kuchapwa wakati wa kula..
Wewe ni Abnormal mkuu..!Mimi dudu yangu inapindia kushoto..... mashoto hoyeeeee
Aiseee...!Nipo hapa mimi shoto na mume wangu shoto watoto wangu wanne kati ya sita ni shoto,nahao waliobakia ni shoto na kuliaaaaaaa
Mimi walichapa tuu..ila ilishindikana..Hizo bakora nikikumbuka naumia sana hata wakati wa kuandika darasani nakumbuka mwalimu wa somo la hisabati kila akiingia darasani anaanza na mimi.
Natuma hela ya keki pm mkuu..
Namba 3 ni kweli, mpaka mama ananiambiaga E una vistory vya uongo.Pamoja na sifa hizo lakini kwa utafiti wangu mdogo nilioufanya kwa Mashoto wana weakness zifuatazo:
1.Wanahasira za karibu sana..kununa,Nongwa na kususa kwetu ni kawaida...Ila ni wepesi kusamehe na maisha yakaendelea..
2.Ujanja ujanja mwingiiii,ikiwemo STEALING
3.wengi wao ni waongo(Hasa katika story za kawaida)
4.Hawaogopi kusema ukweli pale wanapoona haki,wajibu,na taratibu zinakiukwa..Ukweli wao huu unawapelekea kuchukiwa na kudhurika pia wakati mwingine...
Mashoto wenzangu samahanini
utakuwa mvivu labda! hahahaaaaMbna mimi mashoto lakin naisoma namba balaa
Mimi hadi jicho la kushoto ndio linaona vizuri,mara nyingi nageukia kushoto kuangalia nyumaTuko wengi sana kumbe jf.
Mimi hadi jicho la kushoto ndio linaona vizuri,mara nyingi nageukia kushoto kuangalia nyuma
Mh. Janeth Magufuli na yeye ni mashoto mwenzetuKenyatta