VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Eti Mawakili Wasomi wanambishia Wakili Method Kimomogoro kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali asiwekwe upande wa Mh. Lema kwenye rufaa yake.
Kwani, Mahakama Kuu, AG alikuwa upande gani? Wa Lema. Nini kinachomwamisha sasa Mahakama ya Rufani kwenda upande wa Wajibu Rufaa? Hii si rufaa ya Lema dhidi ya Serikali. Ni Lema dhidi ya waliokuwa Walalamikaji Mahakama Kuu.
Mawakili wa Warufaniwa waache kuweweseka mapema hivi. Rufaa itaendelea tar 2 mwezi ujao saa tatu asubuhi...
Kwani, Mahakama Kuu, AG alikuwa upande gani? Wa Lema. Nini kinachomwamisha sasa Mahakama ya Rufani kwenda upande wa Wajibu Rufaa? Hii si rufaa ya Lema dhidi ya Serikali. Ni Lema dhidi ya waliokuwa Walalamikaji Mahakama Kuu.
Mawakili wa Warufaniwa waache kuweweseka mapema hivi. Rufaa itaendelea tar 2 mwezi ujao saa tatu asubuhi...