Siku ya kwanza chuo au shule

Form one 2010 siku ya kwanza shuleni niliibiwa tranka na form 4 maana lilikuwa na rangi pendea ya blue ......ila baada ya siku mbili kulitafuta likaletwa na waliolichukua walikuwa form 4 kuanzia hapo hao form 4 walikuwa marafiki zangu mpaka wanaondoka waliniachia vitu vingi mnooo hadi sasa wengine nimekutana nao huku chuoni.


Siku ya kwanza form 5 2014 SAME boys high school asubui nilipo amka sikunawa maana shida ya maji hapi shuleni nikaenda hivyo hivyo ofisini na matongo tongo mwalimu wa zamu akaniita akanambia niendw kwake nikanawe ndipo nirudi oficini nkaenda nikanawa nikarudi.


Siku yakwanza chuoni nilikaribishwa na mdada yeye alikiuwa mwaka wa pili....urafiki ukaendelea ila mda nkaona bora huyu anitoe BIKIRA YANGU hakukataa akanipa papuchi sasa yupo mwaka wa 3 mm naingia wa 2 tupo kama friends lakini ku sex ni kawaida tuuuuu

Nao nafurahia penzi lake.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

[emoji41][emoji41][emoji41]
 
U
Umetishaaaa dah!!!
 
Aisee.
 
Siku ya kwanza boarding niling'atwa sana na kunguni mpaka nikawa ninahisi watanitoa roho ikabidi niamke usiku nikakae uwanjani mpaka kukakucha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ha ha ha ,noma sana.
 
ulikuwa huna rafiki au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…