Analogia Malenga
Platinum Member
- Feb 24, 2012
- 5,292
- 10,842
Novemba 5, Umoja wa Mataifa (UN) huadhimisha siku ya kimataifa ya kuongeza uelewa wa janga la Tsunami. Tsunami hutokea mara chache, wanaona hiyo haiondoi sababu ya dunia kujiandaa kwa janga hilo.
Kwa mwaka 2020, UN inatumia siku hii kuzifanya nchi na jamii kuwa na mpango mkakati wa kupunguza hatari za janga hilo ili kuokoa maisha ya watu.
UN imekadiria kuwa hadi mwaka 2030, 50% ya watu watakuwa wanaishi karibu na mwambao ambayo yana hatari ya mafuriko, dhoruba na Tsunami. Hivyo ni muhimu kuwa na mpango wa kujilinda dhidi ya majanga ho.
UN inaelimisha na kutengeneza njia za kujiokoa na kufanya kila linalowezekana ili janga likitokea maisha ya watu yasiwe hatarini.
Kwa mwaka 2020, UN inatumia siku hii kuzifanya nchi na jamii kuwa na mpango mkakati wa kupunguza hatari za janga hilo ili kuokoa maisha ya watu.
UN imekadiria kuwa hadi mwaka 2030, 50% ya watu watakuwa wanaishi karibu na mwambao ambayo yana hatari ya mafuriko, dhoruba na Tsunami. Hivyo ni muhimu kuwa na mpango wa kujilinda dhidi ya majanga ho.
UN inaelimisha na kutengeneza njia za kujiokoa na kufanya kila linalowezekana ili janga likitokea maisha ya watu yasiwe hatarini.