Nadhani kila kitu kina mwisho wake, sasa cjui wewe unataka CDM wakiingia madarakani watawale milele au? Haiwezekani! kama ilivyo mwisho wa ccm na CDM itakua na mwisho. Labda ukiwa na akili za mwendawazimu ndo unaweza kufikiri kuna kitu kinatawala milele! Kwa hiyo tunachotaka ni mabadiliko, na muda pia ukifika na CDM watabadilishwa. Sasa kama binadamu anakufa kwanini CCM au CDM isife? kila kitu kina mwisho wake bana! kingine kitaongoza miaka 50, kingine miaka 5, kingine 10, na kingine miaka 0 na hivyo ndiyo itakavyokua. Sasa cjui tatizo ni nini!!