Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,888
Mahusiano n furahaa na amani. Mnamo MWAKA Fulani nikianza mahusiano na BINTI mmoja. Tulipendana sanaa mdawote akitakakuwa na mimi. Mnamo sikufulan niliomba TUKAE nae sehemu
Akaombaa atakuwa kwa mzaziwake. JIONI nkapata hisia KWENDA KWAKE. Nusu Saa nikiwa duka LA JIRAN NAMWONA anashuka kwa gari akaingia NDAN. Nikaamua KUINGIA NDAN. GAFLA bibie NAMWONA amependeza
Nikalazimisha kushika SIMU. Yalionikuta SIRI YANGU na Mungu. NKAKUTA msg akiandkka kwangu asbh morning ma LVE umeamkaje mmetumiwa msg moja WANNE. So nikiona msg ya miss u BASI MWENZANGU wametumiwa hizo hizo
MCHANA UKIONA nice lunch hny ujue wametumiwa WANNE. Nikaingià whatsup hukoo ndioo tuliwekwa GRP moja KAANDIKA ma lovers
Hukoo NAJAMAA wakituma msg za mapenzi kwakee ama nikimtumia kadi za miss u NK ana fwd kwa JAMAA kama zilivyo n vv AKIWA anantumia makadi aliotumiwa na ma lovers.
Usikate tamaaaaa LA maana moyo umeumbwa kuvumilia best. Miaka miwili ikaishia kuwa ya kutesana na kusalitia. BAADA YA MWAKA nkapata nilieandikiwa na mola swabanaahana wataaala
Never gv up.
Akaombaa atakuwa kwa mzaziwake. JIONI nkapata hisia KWENDA KWAKE. Nusu Saa nikiwa duka LA JIRAN NAMWONA anashuka kwa gari akaingia NDAN. Nikaamua KUINGIA NDAN. GAFLA bibie NAMWONA amependeza
Nikalazimisha kushika SIMU. Yalionikuta SIRI YANGU na Mungu. NKAKUTA msg akiandkka kwangu asbh morning ma LVE umeamkaje mmetumiwa msg moja WANNE. So nikiona msg ya miss u BASI MWENZANGU wametumiwa hizo hizo
MCHANA UKIONA nice lunch hny ujue wametumiwa WANNE. Nikaingià whatsup hukoo ndioo tuliwekwa GRP moja KAANDIKA ma lovers
Hukoo NAJAMAA wakituma msg za mapenzi kwakee ama nikimtumia kadi za miss u NK ana fwd kwa JAMAA kama zilivyo n vv AKIWA anantumia makadi aliotumiwa na ma lovers.
Usikate tamaaaaa LA maana moyo umeumbwa kuvumilia best. Miaka miwili ikaishia kuwa ya kutesana na kusalitia. BAADA YA MWAKA nkapata nilieandikiwa na mola swabanaahana wataaala
Never gv up.