Siku nilipoopoa Jike-dume

Siku nilipoopoa Jike-dume

(Hapo ndipo nilichomoka kama risasi sikumbuki kama ngazi nilikanyaga maana nilipita kwenye ngazi kama na slide hadi chini nikavaa vizuri na kuondoka, nikawakuta wale vijana wapo! ikabidi niwaulize vipi mnamfaham huyu mama niliekuwa nae pale!)

Hii mistari imenichekesha sana
 
(Hapo ndipo nilichomoka kama risasi sikumbuki kama ngazi nilikanyaga maana nilipita kwenye ngazi kama na slide hadi chini nikavaa vizuri na kuondoka, nikawakuta wale vijana wapo! ikabidi niwaulize vipi mnamfaham huyu mama niliekuwa nae pale!)

Hii mistari imenichekesha sana
hapo sukari ilimiminwa ya kutosha
 
Kuna watu watakuja watasema baharia hachagui papuchi
weee thubutu! ..hata kama una uchu ila siyo kwa papuchi ile!!!Jiulize mashine ilikuwa imelalia kama pazia!!!
Yule mama alikuwa maarufu kwa jina la mama SIRI YAKO!
 
Back
Top Bottom