Siku kama ya leo!!!!

CharmingLady

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2012
Posts
18,304
Reaction score
12,997
Mu hali gani wapendwa wana ChitChat....

Napenda kuchukua fursa hii kutoa shukrani zangu kwa Mwenyezi Mungu kwa kunilinda mpaka sasa, ilikuwa siku kama ya leo majira kama haya nilipojiunga rasmi hapa Jamiiforum.

Nilihamasishwa na rafiki yangu ambaye mpaka leo sifahamu ID yake. Yeye alikuwa anapenda sana kusoma mada MMU ya kunishirikisha, basi tukawa tunasoma kila mara ila kuna mada ambazo kama wewe sio member huruhusiwi.kuzisoma. Hapo ndipo niliamua kuji-register kama member rasmi.

Nimefaidika sana na mtandao huu, kuna vitu vingi ambavyo nilikuwa sivielewi na sasa vimekuwa muongozo katika maisha yangu ya kimahusiano, kifamilia, kikazi na hata kifamilia pia. Nimefarijiwa wakati wa huzuni, nimefurahishwa nikiwa nimechukia. Pia nimepata marafiki wengi wenye manufaa zaidi.

Pili, napenda kuishukuru familia yangu ya Chitchat kwa kuanza na my Lovely daddy watu8, lovely mummy measkron, lovely sisters sweetlady, WiseLady, my cousins ladyfurahia & FirstLady. Out lovely brother Davie S.M.... kwa kuendelea kuonesha mshikamano. Sijamdahau my x-huz C6 alikuwa msaada sana kwangu katika nyanja fulani fulani.... (nakukumbuka aisee)

Tatu, nawashukuru marafiki wooote wakiongozwa na shostito wa ukwenheee Elizabeth Dominic (ntakusaka baadae nina mchongo mama) Evelyn Salt (mtasha kakumiss bana ujepo walau weekend) beibe nasty (we naye unafichwa sana mama duh!) Erickb52 (mbona huji tena mza, ujue tumemiss ile makitu ya level 8!!!) Mzee Mtambuzi (mekumiss we Mzee, waja lini tena?) King Mswati Arushaone (mzee wacha kuwa muongo ushazeeka wewe) Kaizer (wasalimie wake zako)...... Na wana Chitchat wooote mmekuwa na upendo wa hali ya juu...

Heheheiiiyaaaa! Nilikuwa nimewasahau Moderators wakiongozwa na Invisible (nakushukuru kwa kuniingiza jukwaa la kikubwa ingawa linanipa shida kweli Fang na Meezy (nashukuru kwa kunikosoa) Kwa pamoja nawashukuru kwa kutonipiga pingu (ban)... Muendelee hivyo hivyooooo.....

Mwisho Uongozi mzima wa Jamii Forums make bila wao nisingeweza kujifunza mambo mengi niliyojifunza hapa....

Nawapenda woooote.....



To charminglady......
 
Last edited by a moderator:
Hapi basidei jamii-charminglady..
 
Nashukuru my cousin sitakusahau kwa mambo mengi uliyonitendea na kunitetea humu mjengoni kwani katibu wa CCM amenisema vibaya sana humu eti aongei na mbwa anaongea na mwenye mbwa (nachonganisha............. humu) jaamani nilishamsamehe bhana kwani mm ni mtu wa Mungu namwachia Mungu au labda kwa mada zangu
 
Oh charminglady! Great journey! Umeupiga mwendo kwa ujasiri na hakika umevuna ulichokipanda! Angalia kushoto kwako utaona hilo li-GOLD!!!

Usidhani mwaka mmoja ni mchezo!


Happy Anniversary my friend.
 
Last edited by a moderator:
Waoooooh!
Hongera sana charminglady
Tuko pamoja na tutaendelea kuwa pamoja daima!
Bug up sana
 
Last edited by a moderator:
Mwanza nitakuja ila kuna kitu kinaniwekea kiwingu aisee hope unajua
 

Usijali my cousin Mungu ni mwema.....

Namuomba mkuu BAK akutupie wimbo wa Christina Shusho hapa uwe dedication yangu kwako..... "Bwana utete nao, wanaoteta nami"
 
Last edited by a moderator:
Oh charminglady! Great journey! Umeupiga mwendo kwa ujasiri na hakika umevuna ulichokipanda! Angalia kushoto kwako utaona hilo li-GOLD!!!

Usidhani mwaka mmoja ni mchezo!


Happy Anniversary my friend.

Thank you very much Arushaone a.k.a King Mswati.... Oooohhh nilimsahau uncle Lundenga aisee, Shukrani zimfikie popote pale alipo Ruhazwe JR. Si unajua tena nakwiba muda wa Mkoloni bana!!!!
 
Last edited by a moderator:
Kuna mengi wengi watakupa nawe utafurahi, lakini hayo yote hayawezi kulizidi pendo la Baba na Mama.
Tunakupenda sana our little princess, uwe na amani siku zote ukaazo hapa jamvini ukijua kuwa tupo tunaokujali.

Much love from,
Daddy, watu8 na Mummy measkron
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…