Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,140
- 159,058
- Thread starter
- #261
teh teh teeeeh!! kwani ukitoa lazima ukule? unatoa tu kiroho safi yaani.Mkuu hawa viumbe ukiendekeza kuwapa hela kwa m pesa, t pesa na a mane utaishia kunawa tu halafu wajanja ndo wanakwanyua kipenyo mimi mwenyewe kuna demu alitaka anichezee faulo akafeli nikamvuta king nikala sukari ambayo serikali ya wajinga wanahaha na kuishia kunawa..