Hahahhaa..yasije yakukuta,kuna mtu alikuwa anahamu ya kugegeda sasa badala ya kutuma ujumbe huo kwa washkaji akatuma kwenye group la familia...balaaa hiyo aibu yakeView attachment 339433
Duuuh! Hiyo ilikuwa noma sana lakini walimuelewa tu kwani nani asiyegegeda/gegedwa dunia hii? Nipe kampan yako sasa sio unaniacha tu naangamia na upweke