Siku 100 za Edward Lowassa Madarakani


Alitoa maji kutoka Mwanza kwenda Shinyanga. Na plan yake ilikuwa ni kuyapeleka Dodoma via Singida... In that case mikoa zaidi ya 7 ungefaidika na huo mradi
 
All falls in short plan of about 2 (60 dys) 2 months. Kwanza hayo matatizo yote hayakupaswa kuwepo
nimependa uwazi wako,kwa mamlaka ya rais hayo matatizo ni kutoa amri na utekelezaji unaanza,wakat nchi ina hali ngumu watu walisoma bure iweje leo ishindikane?tatizo la folen dar ni ufinyu wa upeo tu
 
10. Kuhusu kufuta kodi zote kwa mazao ya mifugo na kilimo, hapo ndipo anapojidanganya. Najua yeye anamiliki ranchi kubwa pamoja na ndugu yake Sumaye. Anataka ile mifugo ambayo anafuga na mabepari wenzake wasilipe kodi na serikali isipate chochote. Mtu ambaye anafikiria kutokusanya kodi basi huyo ni kiongozi juha kabisa
 


Magufuli anaiimba ilani ya Mkapa, Jakaya na Mwinyi kwa pamoja.
Hawana jipya.
 

Kuna tofauti kubwa sana kati ya ilani na vipaumbele. Haya ni mambo atakayoanza nayo ndani ya siku 100
 


Hivi Tanzania kuna watu wanalipa kodi ya kilimo na ufugaji?
 
11. Kuhusu mkakati ya kukuza michezo, sanaa na utamaduni, hilo utekelezaji wake hauwezi kufanywa ndani ya siku 100. Utawala wa JK umekuwa rafiki sana kwa wasanii. Ndo maana tunaona akina Diamond wanafanya collabo na wasanii wa nje tena wakubwa wakubwa. Pia tunaona wasanii wa Tanzania wanashiriki kwenye tuzo mbalimbali za nje ya nchi
 
Tatizo mnadhani serikali inaendeshwa Kama saccos yake pale monduli.

CCM imedumaza watu kiakili sana.... Yaani kwa upeo wako unaona hayo mambo hayawezekani.... Duuuh kweli akili zinatofautiana....
 
12. Kuhusu kuunda Tume ya kutatua migogoro ya wakulima na wafugaji, Lowasa akiwa Waziri wa Ardhi ndiye Waziri anayeongoza kwa kuchochea migogoro badala ya kuitatua. Hana jipya. Huu ni ulaghai mwingine. Lukuvi amefanya kazi kubwa ya kurekebisha makosa yaliyofanywa wakati wa utawala wa Lowasa
 

Ndio dhumuni zima la mabadiliko na lengo nzima la kufumua mfumo wa CCM
 

Hatimililo zao zikoje?..... Tatizo la wasanii ni kufanya colabo na wasanii wa nje au ni HATIMILIKI!
 

narrow minded
 
Huo urais atakuwa amepata wa wapi?coz watanzania wengi wanajua hana sifa na hawako tayari kumpa kura kwani wanatambua kuwa huyo ni fisadi na yuko katika harakati hizo kwa maslahi binafsi na Sio vinginevyo,hatufai
 

Usijidanganye na propaganda za uchaguzi wewe. Waziri mkuu ana mamlaka yapi katika wizara zote na power yake ni ipi. Yeye ni mkuu na msimamizi wa uongozi wote katika wizara zote. We vipi. Kama kura mpe ila ujue alivulunda yeye na atavulunda tena na tena. # hapa ni kazi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…