Joshua Mbezi
JF-Expert Member
- Oct 18, 2024
- 1,506
- 2,898
Wakati wa kampeni Chama Cha Mapinduzi CCM walijinadi kwa ahadi rukuki walikuwa na mipango ya muda mrefu na mipango ya muda mfupi
Kwa Leo tujikite katika kuchambua mipango ya muda mfupi (siku 100)
Je zile ahadi walizotoa zimetimizwa kweli?
Kwa Leo tujikite katika kuchambua mipango ya muda mfupi (siku 100)
Je zile ahadi walizotoa zimetimizwa kweli?