Sijui utaratibu wa kufuatilia mafao ya kifo PSPF

baba so

New Member
May 24, 2017
2
0
Mzazi wangu (mama) amefariki na alinizaa peke yangu na alikuwa single mother sasa sijajua utaratibu wa kufuatilia mafao yake ya kifo pspf kwakuwa alishalipwa mafao yake ya mkupuo mwaka jana na amefariki mwaka huu mwezi wa tano....

Nisaidieni wadau nafanyaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…