Mzazi wangu (mama) amefariki na alinizaa peke yangu na alikuwa single mother sasa sijajua utaratibu wa kufuatilia mafao yake ya kifo pspf kwakuwa alishalipwa mafao yake ya mkupuo mwaka jana na amefariki mwaka huu mwezi wa tano....
Nisaidieni wadau nafanyaje?