Sijui nifanyeje wanajukwaa

Let me get this straight...Kama ana ujauzito wako na wewe hukujua ina maana ulilala na huyo mwanamke within 9moths ago...probably less tuchukulie average ni 5months ago. Ulianza uhusiano na mkeo mtarajiwa baada ya kuachana na huyo mwanamke...so mkuu ndani ya 5months ulishamwona, ukampenda, ukamtongoza, ukakuza uhusiano, ukaengage, mkatambulishana nyumbani pande mbili, ukalipa mahari, ukaandikisha ndoa na sasa mipango ya harusi yenyewe? Mbona ndoa za siku hizi zina kazi!
Kama si hivyo basi ulicheat...

mhhh patamu hapo
 
kaka nakuambia hivi, kwanza ulikosea sana pale huyu binti alipofukuzwa kwao wewe ukamsaidia inamaana uliendelea kulea upumbavu wa watoto wa kike kwa mwavul wa mapenzi pasi kujua kwamba wewe huwez kuwa na uchungu kuliko mzazi wa binti huyu.

sitak kuamni kwamba wewe ulimuonea huruma kumbe tayari ulikuwa mfariji mtaabishaji kwa huyu binti. ungekua makin ungemsaidia arud kwao aka reconcile na wazazi wake kuliko kujibebea mzigo wa kumsomesha binti asiyejali wala kukthamini.

huyu binti toka kwao anatabia mbaya na ndio maana wazazi /walez wake walimfukuza na ulipomchukua with hizo elf 40 kwa wk ndio ulimpa wigo wa kuwa kahaba mzuri.

baada ya kukwambia hayo sasa endelea na mipango yako ya ndoa, wala asikupe presha huyu na tena mpige mkwara na ikiwezekana mchukulie rb kiwa kukutishia maisha wewe manake kwa maneno yako anaweza hata kumdhuru mkeo.

kwawanaume wengine jamani muwege mnatumia akili msijiingize kwenye mitego ya kusomesha binti with hope ya kupata returns itawakosti.
 
huna haja ya kupata presha ndoa haizuiwi kufungwa kwa ajili ya mimba .. inazuiwa na cheti cha ndoa
 
kaka nakuambia hivi, kwanza ulikosea sana pale huyu binti alipofukuzwa kwao wewe ukamsaidia inamaana uliendelea kulea upumbavu wa watoto wa kike kwa mwavul wa mapenzi pasi kujua kwamba wewe huwez kuwa na uchungu kuliko mzazi wa binti huyu.

sitak kuamni kwamba wewe ulimuonea huruma kumbe tayari ulikuwa mfariji mtaabishaji kwa huyu binti. ungekua makin ungemsaidia arud kwao aka reconcile na wazazi wake kuliko kujibebea mzigo wa kumsomesha binti asiyejali wala kukthamini.

huyu binti toka kwao anatabia mbaya na ndio maana wazazi /walez wake walimfukuza na ulipomchukua with hizo elf 40 kwa wk ndio ulimpa wigo wa kuwa kahaba mzuri.

baada ya kukwambia hayo sasa endelea na mipango yako ya ndoa, wala asikupe presha huyu na tena mpige mkwara na ikiwezekana mchukulie rb kiwa kukutishia maisha wewe manake kwa maneno yako anaweza hata kumdhuru mkeo.

kwawanaume wengine jamani muwege mnatumia akili msijiingize kwenye mitego ya kusomesha binti with hope ya kupata returns itawakosti.

gfsonwin aliyezama kwenye mapenzi kichwa, miguu, mikono etc hawezi kukuelewa hapo kwa red. Kwa mtizamo mwingine acha tu waendelee kuwasaidia wadada wapate elimu
 
Nilikuwa na mpenzi ambaye tulianza uhusiano mnamo mwaka 2010 kipindi hicho yeye alikuwa anasoma lakini wakaja wakakosana na wazazi wake hivyo akawa ni mtu wa kutanga tanga, mimi nikaona sio vizuri aendelee kuhangaika so nikachukua jukumu la kumsaidia kwa kumsomesha huku nikiwa na matumaini kwamba siku moja Mungu akijalia atakuja kuwa mke wangu,nilimlipia school fees tsh 600,000/= na kila wiki nilikuwa nampatia elfu 40,000/= ya matumizi lakini siku zilivyozidi kwenda mbele nikaja kugundua kuwa kumbe alikikuwa hasomi wala shule alikuw haendi, nilipo muuliza akakataa kata kata.

So mimi nikaona huyu mwanamke hanifai nikaamua kumwambia ukweli kuwa mimi na yeye basi lkn akaendelea kuning'ang'ania na kunitishia kuwa endapo nitamuacha ataniua, mimi nikaamua kutafuata mpenzi mwingine ambaye nilimpeleka kwa wazazi wangu, na wote walimfurahia na ndipo tukaanza process zote za kutoa mahali, hadi ninavyoandika post hii tayari vikao vya ndoa vimeshaanza na ndoa itafungwa mwezi ujao, cha kushangaza yule mwanamke wangu wa kwanza alipopata habari za mimi kuoa alinijia juu na kuniambia kuwa ana ujauzito wangu na tayari ameshawaambia wazazi wangu, na anapanga kupinga ndoa kanisani. JAMANI HAPA NILIPO MWENZENU NIMECHANGANYIKIWA HATA SIJUI NIFANYEJE?

Kwani hilo kanisa lako husikiliza maneno ya upande mmoja tu au hata uchunguzi hawafanyi? Au kuna ukweli fulani katika madai yake?
 
Sijui ni kwa nini wanaume wanaendelea kuangukia kwenye huu mtego wa kusomesha mabinti kwa mategemeo ya kuja kuwaoa??? Hivi wapo waliofanikiwa kuwaoa mabinti waliowasomesha??

Kama wapo ni wachache sana Sangarara......wengi huwa wanaishia kulizwa!
 
Last edited by a moderator:
Let me get this straight...Kama ana ujauzito wako na wewe hukujua ina maana ulilala na huyo mwanamke within 9moths ago...probably less tuchukulie average ni 5months ago. Ulianza uhusiano na mkeo mtarajiwa baada ya kuachana na huyo mwanamke...so mkuu ndani ya 5months ulishamwona, ukampenda, ukamtongoza, ukakuza uhusiano, ukaengage, mkatambulishana nyumbani pande mbili, ukalipa mahari, ukaandikisha ndoa na sasa mipango ya harusi yenyewe? Mbona ndoa za siku hizi zina kazi!
Kama si hivyo basi ulicheat...

aisee hata mie nimemshangaa mtoa sredi khaaa! Kwa muda mfupi namna hiyo unawezaje kukutana na mtu mpaka kupanga mipango ya ndoa? Au ex ana mimba ya miaka miwili??sijaelewa!:gossip:
 
Hapo kwenye bold na mimi ndio nimepaona pana uzito kuliko thread yooote. Ni very rare kusikia mwanamke anasema ukiniacha NITAKUUA; angesema NITAJIUA ningemuelewa kwani ndivyo wanawake tulivyo. Kaka ulipenda jini si binadamu. Binti kashindikana kwao wewe ukajitia fundi wa kulea. Na usimchukulie poa huyo dada inawezekana ana matatizzo ya akili kwa statement aloitoa. Kaa chonjo.

Otherwise hawezi kukuzuia kuoa kama walivyosema wadau; ila jua una life time problem kwenye ndoa yako haswa kama hiyo mimba ni kweli yako.

Na kama walivyosema wadau huyo mchumba ulimpata lini mpaka huyu muuaji mtarajiwa akusingizie mimba? Au ulikuwa una date wasichana wawili kwa wakati mmoja? Kama ndiyo; that's bad. Kama siyo umeshindwa kujifunza tokana na makosa umekurupuka kukimbilia kuoa kabla hujamjua huyu wa sasa. She could be even worse.


HONGERA SANA BROO,NI WATU WACHACHE SANA WENYE UWEZO WA KUONA NA KUCHUKUA HATUA MAANA WENGINE HUKAA NA KULILIA MUDA NA GHARAMA WALIZOTUMIA. huyo si mke ikiwa leo anakwambia ukikataa atakuua vipi akiletwa ndani. Ndoa haipingwi kirahisi hivyo tena hata kama ujauzito ungekuwa wako sheria haikufungi wewe kuoa ila tu ungelazimika kumtunza mwanao
 
Huyu mtoa mada kidogo ananipa shaka.. Mi ninachofikiria ni kwamba alikuwa na mahusiano na huyo Ex wake wakati teyari ana huyo mke mtarajiwa.. Sasa kitu kimekatikia anaanza kuhaha.. Jamani ukiachana na mtu achana nae moja kwa moja mwisho wa siku ndio unakumbwa na mambo kama haya.. Na huyo mtarajiwa akija kugundua kwamba mlikuwa mnakumbushana na your Ex patachimbika.. Pole yako!
 
Huyo mapepe dawa yake atekwe apelekwe msitu wa pande siku mbili kabla ya ndoa yako maana inavyoonesha anaweza akaibuka kanisan kukuaharibia ndoa yako alafu maandalizi yawe hayana maana.Huyo dada ni muhuni kwa jinsi stori inavyojieleza so nipo tayari kutoa msaada wa kamba na soletepu ili tumpeleke msitu wa Mwepande maana kwa taarifa hapa nilizonazo zinasema ule msitu bado haujafwekwa.Yaani ni chizi sana ameshazikumbuka elf 40 zako na laki 6 sita yako ndo anakuja kukutishia mimba.KAMA UKISHINDWA NIPE TENDA HII SITAKUANGUSHA ILA NA WEWE ULIWEZAJE KULILEA HILI KUNGURU LILILOSHINDIKANA NA WAZAZ WAKE?
 
Back
Top Bottom