ndingi mwana nzeki
Member
- May 18, 2015
- 83
- 95
Wakuu poleni na majukumu
Mdogo Wa mke wangu ameolewa arusha, anaishi huko na mumewe na familia yake
Wiki iliyopita alimuomba ruhusa mumewe kuwa anakuja dar kwa Dada yake yaani kwangu, kwamba Dada yake ni mgonjwa hivyo lazima aje, akaruhusiwa
Cha kushangaza hakua kwangu hiyo wiki nzima in fact kaja Jana, wakati arusha ameondoka wiki nzima iliyopita
Kumbe alienda Moro kwa mchepuko wake amemalizana nao ndo Jana kaja dar
Sasa inaonekana kuna mtu Wa karibu na mumewe kamuona Moro, hivyo
Mume Wa huyu binti ameongea na mke wangu kujua ukweli na ni wazi kwamba hakumuamini mke ktk utetezi
Huyu jamaa mm na yeye huwa haziivi kiviile tunaweza kumaliza mwaka ndo tuonane au kuwasiliane, hujiona matawi ya juu hivyo nikampotezeaga
Tangu Jana jioni wanawasiliana na mke wangu, nawasikia wakizozana sana, sasa wife kamwambia kama haamini mkewe alikua hapo wiki nzima Basi aongee na mimi
Wife anashauri tudanganye tu kuokoa ndoa ya huyu binti ingawa kakosea sana
Sasa wakuu huyu ndugu akinipigia simu niseme uongo kweli? Ni haki hiyo?
Mwaka Jana niliwahi kumuomba huyu binti tufahamiane akakataa, sijui nitumie nafasi hii kufanikiwa hilo jambo?
Lakini pia kama mumewe hatajua jambo hili si huyu binti ataendelea? Tuombe mungu huyu jamaa asiniulize
Mdogo Wa mke wangu ameolewa arusha, anaishi huko na mumewe na familia yake
Wiki iliyopita alimuomba ruhusa mumewe kuwa anakuja dar kwa Dada yake yaani kwangu, kwamba Dada yake ni mgonjwa hivyo lazima aje, akaruhusiwa
Cha kushangaza hakua kwangu hiyo wiki nzima in fact kaja Jana, wakati arusha ameondoka wiki nzima iliyopita
Kumbe alienda Moro kwa mchepuko wake amemalizana nao ndo Jana kaja dar
Sasa inaonekana kuna mtu Wa karibu na mumewe kamuona Moro, hivyo
Mume Wa huyu binti ameongea na mke wangu kujua ukweli na ni wazi kwamba hakumuamini mke ktk utetezi
Huyu jamaa mm na yeye huwa haziivi kiviile tunaweza kumaliza mwaka ndo tuonane au kuwasiliane, hujiona matawi ya juu hivyo nikampotezeaga
Tangu Jana jioni wanawasiliana na mke wangu, nawasikia wakizozana sana, sasa wife kamwambia kama haamini mkewe alikua hapo wiki nzima Basi aongee na mimi
Wife anashauri tudanganye tu kuokoa ndoa ya huyu binti ingawa kakosea sana
Sasa wakuu huyu ndugu akinipigia simu niseme uongo kweli? Ni haki hiyo?
Mwaka Jana niliwahi kumuomba huyu binti tufahamiane akakataa, sijui nitumie nafasi hii kufanikiwa hilo jambo?
Lakini pia kama mumewe hatajua jambo hili si huyu binti ataendelea? Tuombe mungu huyu jamaa asiniulize