Sijui nichague wapi

Kweli hanifai huyu
 

Pole unaonekana umekata tamaa maana u r dating a -----
 
umepata mwingine......ina maana akati uko na huyo wa buku 5 bado uliendelea kutafuta mwingine sasa umempata,au yeye ndo kakupata wewe.
 
njoo pm nikunong'oneze
 

Hahahaa kwel unapenda pesa ukamuacha mwenzako kwa sabababu alikunyima 5000/=
 
Tafuta wazee ndo wajua kuhonga vidumu maana wabahili sana
 
utaombaje hela ndoogo hivyo???

ata mimi ningekutusi..unapenda hela

omba laki mbili kuendelea..adi apate kigugumizi
 
pole mpenzi,i wish niwe wa kwanza kuonja hiyo bikra,much love

Hahah yani ulivyoona birika tu umepagawa had I unamuita mupenz sikuwezi, na akikupa uwe unamtoa zaidi ya hio buku tano
 
Hahah yani ulivyoona birika tu umepagawa had I unamuita mupenz sikuwezi, na akikupa uwe unamtoa zaidi ya hio buku tano

Hahaha hujui nikitoa bikra atanikumbuka sana
 
JIANDAE kuumizwa tena....

Hehehehehe ulimuomba elfu 5 akakufokea hahahaha duuuhhh...
Huyo kwanza ni bahili
Pili, anataka akubandue tuu, jiandae hata chupi ya zawadi hatokununulia
tatu...Kwanza wewe umemuomba mwanaume mme juana kwa muda gani?
Nne...Huyo wa pili nahisi yatakuwa ni yale yale tuu...atakubandua mwisho atakuacha tuu
Tano....Kama waweza jituliza jitulize kama umeshauchoka upweke kubali tuu hali ya kuumia...ndio maisha ya MUJINI




 
Huyo unayemuomba elfu 5000 anakufokea ni wanini sasa na wewe unamlaumu mwenzako?

Je angeombwa zaidi....Twu mbaka !!
Huyo hata ukiwa katika ule mzunguko anaweza kukununulia............. zikusitiri !!





Hahahaa kwel unapenda pesa ukamuacha mwenzako kwa sabababu alikunyima 5000/=
 
sasa ukiacha la kukunyima elfu 5, ana mapenzi mengine, wengine ubahil hulka yao unamfundisha with tyme, na huyo mpya yupo wakati wa zamani hajaachwa au
 
Ahahahahahaa Hebu jaribu huyo mpya ukipata majibu njoo hapa utuombe ushauri huenda tukapata Jibu lako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…