Sijui kweli? nisaidieini

Sijui kweli? nisaidieini

mwanamke ni kiumbe ambae anapenda kula halafu hapendi kunenepa.
Ajabu kweli
 
Mi ukiniambia kweli ntashukuru zaid ila vitambi vngne kdr umr unaposogea kwa mwanamke vinakuja ukizingatia aina za vyakula vyetu. Jamani mi nilikuwa mwembamba kama mgonjwa wa ugonjwa flan hivi but ukiniambia sasa nini kimeninenepesha xjui na hizo castle light sinywi!

Ile kitu unamwagiwa na boy wako ndo imekunenepesha
 
nshapoa haswa pale naporudi nyumbani na kuitwa mama uku nikipokelewa na tabasam lake zito......

haya wewe
ila unaweza kupambana nalo na likatoka

ukawa cute zaidi kabla hujazaa
 
Back
Top Bottom