Sasa wewe ndo inabidi ujisimamie Kumbe Songea hapa hapa inabidi tufanye jamboMkuu kwa jinsi alivyo atarudi tu,, maana hij ni mara ya pili namsaidia halafu inatokea vilevile.. Sijui hata natakiwa kufanya nini, ila ngoja nimpigie kwanza simu nitarudi
Naambiwa hapatikani saiziNdio maana mimi sipendagi ujinga, acha wakuone na roho mbaya tu, unaweza kujitoa kumsaidia mtu na kumsomesha lakini na bado asione thamani yako ni kawaida tu, wewe ili moyo wako uwe na amani mchana aisee, mwambie ukweli kabisa ili uwe huru.
Yaani, ila kwa namna aliyoniambia sidhani kama ungeweza kukataa mkuu, na alikua ananiambia huku namuona mtoto alivyo.. Ingekua kwenye simu nahisi ningekataa kwa jinsi ambayo nilikua sina helaPole ndo ukubwa huo mi siku hizi nimekuwa na roho mbaya baada ya kupigwa vitu vizito huko nyuma yani shida za mtu wa karibu sijui ndg au nani nani hazinigusi kabisaaa ndo ije kuwa classmate,
Hahaa nafikiri umejisikia sehemu ndogo ya maumivu ambayo wanaume tunajisikia kwenye swala la mapenzi, tukiwa tuna-deal na wanawake kwenye maswala ya hela Leejay49Yaani nashindwa kueleza ninavyojiskia,, sihitaji anilipe chochote wala chochote ila tu nimeumia ndomana najishangaa kwanini inakua hivi hadi nashindwa kujizuia.. Hata sielewi naumia nini yani
Nasubiri jibu atakalo kupa ukisha mpigia simMkuu kwa jinsi alivyo atarudi tu,, maana hij ni mara ya pili namsaidia halafu inatokea vilevile.. Sijui hata natakiwa kufanya nini, ila ngoja nimpigie kwanza simu nitarudi
SawaTenda wema nenda zako usisubiri asantee.
Let it go. As along as hukumkopesha, basi take it easy.Kwakweli.. Nifanye nini sasa eti🤔.. Maana sijiskii tu vizuri
Am sorry mkuu ngoja niedit.. niliweka ili watu wasijeuliza baba wa mtoto alikua wapiNadhani tabia yake mbaya Haina uhusiano na usingle mama wake.
Kuna watu kwa asili tu hawanaga shukrani.
Msamehe tu,kisha endelea na mambo yako.
Usimtafute Tena
Mtumie sms hukohuko onlineNaambiwa hapatikani,.. Ila mbona naona yuko online🤔
Hapatikani kawaida, ila WhatsApp yuko online naogopa kumtext nisije nikaharibu, wacha nitulie kwanzaNasubiri jibu atakalo kupa ukisha mpigia sim
Asante, ngoja ninywe maji kwanzaLet it go. As along as hukumkopesha, basi take it easy.
Some people real don't know how to say "Thank You" or wana namna yao yakipekee ya kuonesha shukrani
Aisee🤔🤔..Watu wa Songea huwa ndivyo walivyo. Hata wewe Kama ni wa Songea utakuwa upo hivyo hivyo
ila watu😆Watu wa Songea huwa ndivyo walivyo. Hata wewe Kama ni wa Songea utakuwa upo hivyo hivyo