Sijui kwanini nachepuka

Sijui kwanini nachepuka

Hakuna kosa kwa mwanaume kuchepuka,ila ni kosa kubwa kwa mwanamke kuchepuka..! Sababu zipo nyingi,lkn kubwa nguvu ya mwanaume hawezi kuimudu mwanamke mmoja. Ndo maana hata kwenye maandiko,watu wa Mungu wengi tu walichepuka. Ushahidi mwingine ni watumishi wa Mungu wa nchini 90% wanachepuka na waumini wao lkn makanisa yanazidi kuchanua!
 
na leo ikiwa km cku ya AIDS dunian nenda kapime ujue faida ya kuchepuka ukavibrate pale kesho utaacha...unasubr majb uku unakumbuka ile list yako
 
Hakuna kosa kwa mwanaume kuchepuka,ila ni kosa kubwa kwa mwanamke kuchepuka..! Sababu zipo nyingi,lkn kubwa nguvu ya mwanaume hawezi kuimudu mwanamke mmoja. Ndo maana hata kwenye maandiko,watu wa Mungu wengi tu walichepuka. Ushahidi mwingine ni watumishi wa Mungu wa nchini 90% wanachepuka na waumini wao lkn makanisa yanazidi kuchanua!

aiseeeee
 
Life is too short ukipata tumia ya nn uijipe stress.
 
Friendship................ company za jioni ndo inazaa matunda hayo
 
Kuchepuka kunasaidia kujua aina mbalimbali za papuchi
 
Kuchepuka kunachagizwa na mabadiliko. Mfano mabadiliko ya hali ya hewa baridi unavaa koti. Joto unavaa singlendi. Posipo mabadiliko vigumu kuchepuka. Ushahidi chunguza siku za mwanzo za ndoa rate inaongezeka miaka ya ndoa ikiongezeka. Mabadiliko yachukue kwa mapana
 
External changes will always influence interna changes in an individual.
 
sababu ipo na pia haipo ! ipo iwapo unaoa/ kuolewa na mtu asiye na sifa unazozitaka hapo anakuwa hana uwezo wa kukata kiu yako kabisa hvyo wajikuta waingia ktk dimbwi la kuchepuka. wengine ni ulimbukeni tu mara sijui mafiga matatu mara kidumu cha mkononi huo ni ulimbukeni
 
Back
Top Bottom