Ndo hivyo tena, kile ambacho baba hatumii ndo jamaa anatumia. Mama ana line mbili, Voda na Tigo ila baba yeye anapenda voda, hiyo ingine si itafungwa!!!:laugh::laugh::laugh::laugh: wacha atumie hiyo laini na wengine jamani! Tigo express yourself!:laugh::laugh::laugh::laugh::laugh: