Duh! Umeamua kuweka hadi jina! Lol!!!
Bilashaka ana uzuri wake, usingekaa nae mda wote huo..!! yaonesha ulimpenda sana..!! bado unao muda fanya maamuzi sahihi, kwani nyota njema huonekana alfajiri..period!Madam B yani Nipo mbioni kumkimbia Huyu bwana,yani ni screpa hana msaada
...."It ain't nothing you can do about it" - R.Kelly. Yaaani Kweka azinduke huko aliko, otherwise, shosta dear achape mwendo....When a woman is fed up.....
Jamani ni miaka mitatu sasa tangu niwe na mahusiano na Huyu bwana wa kichaga yani hajawahi kunisaidia hata siku moja kifedha,nikimuomba msaada huwa anapindisha,lakini Mimi huwa namsaidia akipata tatizo,pia kila mara huwa analalamika kuwa amefulia kama defensive mechanism ili nisimuombe hela,amenichosha sana,hata tukipanga twende hotel huwa ananiambia nitangulie dhumuni lake anikute nimeshalipia,sina humu kabisa na mapenzi sasa yameanza kuisha,popote ulipo KWEKA ukufikie ujumbe huu
Wewe sasa ndo sijakuelewa kwani....tunatafuta bigwa hapa....? au tunaangalia mambo ya mapenzi na hela kwa mitazamo tofauti...? kama ni kutafuta bigwa mimi sijamuelewa...ila kama anataka kuachana na jamaa ambae ni mkono wa birika na inavyoonekana hata hajakaa chini kuongea nae...si sahihih...wakina dada mbadilike...tama sana ndo unajikuta mpaka unaingia kuuza dawa kama hao wengine waliokamatwa...Umemuelewa??au unataka ligi wakati bingwa keshatangazwa?
hivi wewe ni mzima kweli, yaani unaenda na mwanaume hoteli halafu wewe ndio unalipia! Hii kali ya mwaka. Kwani ni lazima muende hoteli? Kila mtu akae kwake afanye mambo yake mpaka siku kufulia kutakapoisha.Jamani ni miaka mitatu sasa tangu niwe na mahusiano na Huyu bwana wa kichaga yani hajawahi kunisaidia hata siku moja kifedha,nikimuomba msaada huwa anapindisha,lakini Mimi huwa namsaidia akipata tatizo,pia kila mara huwa analalamika kuwa amefulia kama defensive mechanism ili nisimuombe hela,amenichosha sana,hata tukipanga twende hotel huwa ananiambia nitangulie dhumuni lake anikute nimeshalipia,sina humu kabisa na mapenzi sasa yameanza kuisha,popote ulipo KWEKA ukufikie ujumbe huu
Jamani ni miaka mitatu sasa tangu niwe na mahusiano na Huyu bwana wa kichaga yani hajawahi kunisaidia hata siku moja kifedha,nikimuomba msaada huwa anapindisha,lakini Mimi huwa namsaidia akipata tatizo,pia kila mara huwa analalamika kuwa amefulia kama defensive mechanism ili nisimuombe hela,amenichosha sana,hata tukipanga twende hotel huwa ananiambia nitangulie dhumuni lake anikute nimeshalipia,sina humu kabisa na mapenzi sasa yameanza kuisha,popote ulipo KWEKA ukufikie ujumbe huu