Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,857
Asante sana kaka yanguPole sana dada [emoji41]
Karibu sana mpendwa patience123Thanks my dear one...
Sema ukweli hapana sema wana vifurushi vyao vya unlimited vilivyonivutia wanakubana tu spidi 21mbps ambacho kwangu kitanifaa sanaVipi kuhusu mabando yake ni rafk kwa ss wenye kipato cha kawaida?
Nikufafanulie nini dearest???View attachment 365255 Tetramelyz hebu sasa nifafanulie rafiki yangu....
YAANI NA AMSHA AAmziki wa Halotel H+
Nimependa ulivyo mkarimu dadaPatienceMimi ni dada yako ndugu, hiyo ni Halotel, ndio wenye afadhali kwa hapa nilipo, hizo nyingine ni matatizo.
Poa poaaSema ukweli hapana sema wana vifurushi vyao vya unlimited vilivyonivutia wanakubana tu spidi 21mbps ambacho kwangu kitanifaa sana
Tutajibana tu hivyo hivyo...
Asante kaka yangu, karibu.
Haitoshi banaaAsante kaka yangu, karibu.
Mengine tutawasiliana PM katika utoshelevu uutakao best TetramelyzHaitoshi banaa
Asante saana.Nadhani hukukosea kujipa jina hili la Patience 123 linasadifu mhusikaAsante kaka yangu, karibu.
Inatosha bhana, au unataka uanze kuona wivu?Haitoshi banaa
Hamna atakaye kuelewa jamii forums hii yani humu ndani kumejaa ma freelancer wa halotel kila kona kuusifu huo mtandao wao slow na kusema ndio unakasi kuliko yote hapa bongo...mambo ya tigo hayo![]()
Hao jamaa kifurushi chao cha unlimited cha siku 30 wanafanya kwa tzs ngapi?Smile 4G
aaaah hii kiboko!Sio mapambano kiongozii