The Stress Challengerr
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 2,478
- 6,764
Hujawahi kumuona Maxence Melo ndani ya mijumba?Yaani yule na melo wa Jf hata uwatundike mtini hawavai sana sana tu atajipakaza kwenye skauti (sijui nimepatia)
Akili za kuambiwa, changanya na za kwako.Inakuwaje wanajamvi!
Sijawahi kumuona katibu mkuu mpya ndani ya suti. Sasa hivi piga ua zaragaza zika fukua lazima atinge suti tu. Kama ilikuwa masharti imekula kwake.
Inakuwaje wanajamvi!
Sijawahi kumuona katibu mkuu mpya ndani ya suti. Sasa hivi piga ua zaragaza zika fukua lazima atinge suti tu. Kama ilikuwa masharti imekula kwake.
Mkuu Maxence Melo huvaa japo kwa nadraYaani yule na melo wa Jf hata uwatundike mtini hawavai sana sana tu atajipakaza kwenye skauti (sijui nimepatia)
Hapo akiwa kwa beberu mkuu pale whiter
Mitaa ya states house USA kama sikosei
Weka na kapicha mkuu.Kuvaa suti mchezo?
Suti Ni vazi lenye heshima yake.
Mfano hupashwi kuongea umbea ukiwa umevaa suti. Siongelei hizi suti ambazo koti Ni Ilala na suruali tandika mitumbani. Naongelea suti Kama zangu.
Ukivaa suti hupashwi kula kwa mama ntilie Wala kula supu ya utumbo. Ukivaa suti hupashwi kuongozana na mwanamke aliyevaa Dera au anaeongea ongea ujinga.
Ni muhimu mvaa suti ajue kiingereza Safi.
Mwiko kusimamia kwenye daladala ukiwa na suti.
Kiujumla Sheria za suti ziko kumi na Tisa.
Haya atayaweza?
Huyu akija huku Kidabaga Iringa tutamkimbia🏃🏃 aisee! Siyo kwa urefu huo!!
Kuvaa suti mchezo?
Siongelei hizi suti ambazo koti Ni Ilala na suruali tandika mitumbani. Naongelea suti Kama zangu.
Kiujumla Sheria za suti ziko kumi na Tisa.
Haya atayaweza?
Mkuu fungua uzi utupe ilimu juu ya sharia kumi na Tisa (19) za Suti.Kuvaa suti mchezo?
Suti Ni vazi lenye heshima yake.
Mfano hupashwi kuongea umbea ukiwa umevaa suti. Siongelei hizi suti ambazo koti Ni Ilala na suruali tandika mitumbani. Naongelea suti Kama zangu.
Ukivaa suti hupashwi kula kwa mama ntilie Wala kula supu ya utumbo. Ukivaa suti hupashwi kuongozana na mwanamke aliyevaa Dera au anaeongea ongea ujinga.
Ni muhimu mvaa suti ajue kiingereza Safi.
Mwiko kusimamia kwenye daladala ukiwa na suti.
Kiujumla Sheria za suti ziko kumi na Tisa.
Haya atayaweza?
Ungetumia neno kamili Katibu Mkuu Kiongozi.ukisema tu katibu mkuu,unakuwa unamshusha cheo ndugu bash.Inakuwaje wanajamvi!
Sijawahi kumuona katibu mkuu mpya ndani ya suti. Sasa hivi piga ua garagaza zika fukua lazima atinge suti tu.
Kama ilikuwa masharti imekula kwake.
Washington D.C
Kuna jamaa nilisomaga nae box 2 anaitwa Alipipi Afyusisye....Me mwenyewe nilikuwa naamu nimuone Leo kavaa ila jamaa lilivyo kuwa gumu ili limevaa t shert nyeusi.