Behind the camera
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 315
- 736
Uongo dhambi.
Nasikiaga tu stori juu ya uvunjaji wa yai kwa kwenzangu tuuu. Lakini mimi bunafsi sijawahi kukutana na mwanamke mpya. Sijui kama ni ushamba, ulimbukeni ama nini.
Hata mke wangu niliyemuoa jamaa walishapita nae, makoloni yangu yote mabaharia walishapita nayo. Kikubwa heshima inapatikana.
Hivi niko peke yangu ama kuna wenzangu nao bado hamjabahatika kuvunja yai?
Nasikiaga tu stori juu ya uvunjaji wa yai kwa kwenzangu tuuu. Lakini mimi bunafsi sijawahi kukutana na mwanamke mpya. Sijui kama ni ushamba, ulimbukeni ama nini.
Hata mke wangu niliyemuoa jamaa walishapita nae, makoloni yangu yote mabaharia walishapita nayo. Kikubwa heshima inapatikana.
Hivi niko peke yangu ama kuna wenzangu nao bado hamjabahatika kuvunja yai?