Sijawahi kukutana na mwanamke bikra katika mapenzi

Behind the camera

JF-Expert Member
Jan 12, 2019
315
736
Uongo dhambi.

Nasikiaga tu stori juu ya uvunjaji wa yai kwa kwenzangu tuuu. Lakini mimi bunafsi sijawahi kukutana na mwanamke mpya. Sijui kama ni ushamba, ulimbukeni ama nini.

Hata mke wangu niliyemuoa jamaa walishapita nae, makoloni yangu yote mabaharia walishapita nayo. Kikubwa heshima inapatikana.

Hivi niko peke yangu ama kuna wenzangu nao bado hamjabahatika kuvunja yai?
 
2014.....niko najitolea mahali baada ya kutoka JKT nksubr kwnda chuo mwez Nov, nlikutana na binti mmoja mzur sana, dini sana yan, akanielewa,tukadate huku akiwa kanihakikishia kuwa yeye ni bikra, ile 2015 april nkiwa chuon yeye yupo dar, tukapanga kuonana, huyo nikasafr from Dom to Dar, meeting her by suprise she wasn't a virgin, nliumia sana..... akaniomba msamaha maisha yakaendelea nko nae adi leo ila ukwel alinitoa kwenye plan zangu kabsa 'bnafs nlipanga mwanamke ntakaemtoa bikra ndo ntakae muoa' ila ndo hvo tena, Huu uchungu haujawah isha sijui kwanin, nyuzi za hivi huwa znaniumiza mno mpaka sasa.
 
2014.....niko najitolea mahali baada ya kutoka JKT nksubr kwnda chuo mwez Nov, nlikutana na binti mmoja mzur sana, dini sana yan, akanielewa,tukadate huku akiwa kanihakikishia kuwa yeye ni bikra, ile 2015 april nkiwa chuon yeye yupo dar, tukapanga kuonana, huyo nikasafr from Dom to Dar, meeting her by suprise she wasn't a virgin, nliumia sana..... akaniomba msamaha maisha yakaendelea nko nae adi leo ila ukwel alinitoa kwenye plan zangu kabsa 'bnafs nlipanga mwanamke ntakaemtoa bikra ndo ntakae muoa' ila ndo hvo tena, Huu uchungu haujawah isha sijui kwanin, nyuzi za hivi huwa znaniumiza mno mpaka sasa.

Kikubwa upendo mkuu, kama mpo pamoja hadi sasa na anakuheshimu na huoni tatizo lolote hilo la bikra lisikuumize.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom