Sijawahi kujihusisha na uchawi, Je! naweza kulogeka?

Mkuu Ishmael inaonyesha wewe Biblia unasoma

juu juu kama nyimbo wewe huisomi Biblia moja kwa moja Bwana Yesu alikuwa akisali na

kuomba(dua) kama walivyokuwa waki sali na kuomba (Dua) Mitume mingine. Ushahidi kuwa Bwana

Yesu alimuomba Mungu amuepushe na kifo cha msalaba
Soma hapa chini.

Marko:15-34


34 Na saa tisa Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Maana yake, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?

Wewe Mkuu Ishmael Unamuomba Bwana YESU akulinde wakati Yesu Mwenyewe

anamuomba Mungu na kumwambia kwanini unaniacha? kazi kweli ipo Kwa akili zako na

fikiria zako Ni nani wa Kuombwa Kati ya Bwana YESU na Mungu ni yupi wa Kuombwa hapo?

Umepewa akili itumie akili yako sio kuwapoteza watu kwa jina la Bwana YESU.
You need to learn about incarnation.

It is like when Allah called himself a king, what does it mean? Is Allah no longer a deity?
 

UCHAWI KATIKA BIBLIA


Maana ya kufaa ni kwamba kama tunajaribu kwenda kwa mganga wa kienyeji, basi tumwamini kabisa. Hakuna maana ya kuaguliwa na mchawi kama tunatumainia mema; na huenda wao wenyewe watafanya hayo hayo. Kuamini kabisa watu hawa na kuwepo kwa nguvu wanazodai


Uchawi Upo ndio Maana umetajwa katika kitabu cha Biblia laiti Uchawi usingelikuwepo uingetajwa katika Kitabu cha kale cha Biblia. tusiuogope Uchawi tumuogope Mungu na Kumuomba Atulinde na Uchawi na Mapepo wabaya .Mkuu Shy land

Muhammad practiced witchcraft

According to Muhammad's own definition of witchcraft, Muhammad was himself guilty of practicing that demonic art. Muhammad defines witchcraft as follows:


Qur'an 113.003 "From the mischievous evil of Darkness as it becomes intensely dark, and from the mischief of those who practice the evil of malignant witchcraft and blowing on knots, and from the mischievous evil of the envier when he covets."

And the Hadith records that Muhammad did these very things:

Bukhari:V7B71N643 "I heard the Prophet saying, ‘If anyone sees something he dislikes, he should blow three times on his left side and its evil will not harm him.'"

Bukhari:V6B61N535"Whenever the Prophet became ill he used to blow his breath over his body hoping for its blessing." Bukhari:V6B61N536"When the Prophet went to bed he would cup his hands together and blow over them reciting surahs. He would then rub his hands over whatever parts of his body he could reach, starting with his head, face and frontal areas."

Exactly why Muhammad thinks he will be able to beat evil with what he called evil is beyond me. But I would not deny that Muhammad here confesses that he practices witchcraft since the implicit confession is obvious to all without an obvious bias.
 
IN THE NAME OF JESUS, I REVERSE THE CURSE AND ALL EVIL.


Psalm 79:12 And render unto our neighbours SEVENFOLD into their bosom their reproach, wherewith they have reproached thee, O Lord.


IN THE NAME OF JESUS, I BREAK AND RETURN ALL EVIL SEVENFOLD, AND I BIND IT TO THEM BY THE BLOOD OF JESUS.


Gen 4:15 And the LORD said unto him, Therefore whosoever slayeth Cain, vengeance shall be taken on him SEVENFOLD.


Gen 4:24 If Cain shall be avenged sevenfold, truly Lamech SEVENTY and SEVENFOLD.
Read Psalm 109 to see what King David prayed against people coming against him.


In Psalm 7, verse 16, King David prays, "His mischief shall RETURN upon his own head, and his violent dealing shall come down upon his own pate (scalp).


In I Kings 2, verse 44, King David said, "...so the Lord will RETURN your evil upon your own head.


Joel 3:4 - ...Even if you pay Me back, swiftly and speedily I will RETURN your deed [of retaliation] upon your own head.


Joel 3:7 - Behold, I will stir them up out of the place to which you have sold them and will RETURN your deed [of retaliation] upon your own head.


You RETURN curses and all evil because you don't want what has been SENT to you. You should not RETURN it to cause harm to anyone. It is God's business how and when and if He chooses to take action on the senders. Our experience is that He DOES take action. If you do not return curses and all evil, then you are accepting the curses and all evil that has been SENT to you.
Then, there is always II Kings 2:23 - He (Elisha) went up from Jerico to Bethel. On the way, young [maturing and accountable] boys came out of the city and MOCKED him and said to him, Go up [in a whirlwind], you baldhead! Go up, you baldhead! Verse 24 - And he turned around and looked at them and CALLED A CURSE DOWN on them in the name of the Lord. And two she-bears came out of the woods and ripped up forty-two of the boys.

Hizi ni hadithi tu,japo pia siamini mambo ya uchawi.haingii akilini cain apewe kinga eti watu wasimdhuru wakati dunia nzima kwa mjibu wa bibilia ilikua na watu watatu tu,mamayake cain(yaani eve),babake(adam) na yeye cain.
sasa nani angeweza kumdhuru?
 
Taja jina lako la ukweli jina lako jina la mama yako jina la baba yako na jina la ukoo wako humu ...
kisha katembee na mke wa mtu. Kisha uone jinsi Uchawi utakavyo kupata .

Precisely. Kanuni za asili zinataka uwe na nidhamu kimaisha........

Ikiwa uchawi unafanya kazi, fanya uyajue majina ya mtu unaetaka kumloga bila kuulizia popote/yeyote!!
 
Hizi ni hadithi tu,japo pia siamini mambo ya uchawi.haingii akilini cain apewe kinga eti watu wasimdhuru wakati dunia nzima kwa mjibu wa bibilia ilikua na watu watatu tu,mamayake cain(yaani eve),babake(adam) na yeye cain.
sasa nani angeweza kumdhuru?

Kiuhalisia, hiyo hadithi ya kina Adamu si kweli
 
mi mwenyewe nilikuwa siamini uchawi hata kidogo, ila sasa naamini upo na wala haijalishi umechokoza au hapana. mchawi katawaliwa na wivu ukimzidi (kiuchumi, elimu, uzuri, n.k) tu ni kosa lazima akuchezee cheketu cheketu.
 
Precisely. Kanuni za asili zinataka uwe na nidhamu kimaisha........

Ikiwa uchawi unafanya kazi, fanya uyajue majina ya mtu unaetaka kumloga bila kuulizia popote/yeyote!!

Kweli mkuu, mbona Yesu wakati anawachagua mitume aliwaita kwa majina wamfuate, kama na wachawi wanaweza basi wajitwaalie nina wanakoweza bila kuuliza la sivyo ni ukanjanja tu!
 
Unaweza kurogeka,nyota yako inaonyesha upo katika hatari kubwa sana,ni vyema ukachukua tafadhari,kwa msaada zaidi ni PM
 
MAOMBI YA KUSAMBARATISHA UCHAWI NA NGUVU ZA GIZA

Baba katika Jina la Yesu.

Laana zote nilizo tupiwa na wabaya wangu zimeshindwa kwa jina la Yesu na nazivunja na kuzisambaratisha kwa Damu ya Yesu. Mshindwe wote mnao tuma laana kwangu katika Jina la La Yesu.

Nawavunja na kuwaharibu na kuwakatakata Wachawi wote kwa damu ya Yesu.

Nasambaratisha kila neno la uovu lililosemwa juu yangu na famila yangu katika jina la Yesu.

Naharibu na kuisambaratisha madhabahu yenu mliyo fanyia kafara kwa damu ya Yesu.

Navunjavunja na kubomoa kila uovu na uchawi mnaonifanyia katika jina la Yesu.

Nairudisha misukule yote na majini yote yawarudie nyie na kuwalipa dhambi zote mnazo fanya katika jina la Yesu.

Naharibu kila uchawi, kila urogi, kila ndumba kila aina ya uovu ambao mnaufanya ili uniumize mimi na familia yangu katika jina la Yesu.

Nawateketeza kupitia damu ya Yesu Wachawi wote walio tumiwa kunitumia uchawi katika jina la Yesu.

Nawateketeza na kuwaharibu majini yote yaliyo tumwa kuja kufanya kazi hiyo waliyo tumwa na Wachawi katika jina la Yesu.

Nawateketeza na kuwauwa Makuhani wote ambao walienda kunishitaki kwa Wachawi ili waniharibie maisha, nawateketeza kupitia damu ya Yesu. Nawachoma kwa Moto wa Roho Mtakatifu katika Jina la Yesu.

Nateketeza aina zote za vyombo vya kichawi vilivyo tumiwa kuja kunichunguza katika jina la Yesu.

Naharibu fikra zao zote ambazo wanazitumia kufanya kazi zao za kichawi katika jina la Yesu.

Nafuta kumbukumbu zoote zangu ambazo wamewapa Mashetani, Majini, Roho chafu, nafuta hizo kumbukumbu kwa kutumia damu ya Yesu, katika jina la Yesu aliye hai.

Nawateketeza waweka kumbukumbu wa kimashetani kupitia damu ya Yesu aliye hai. Naharaibu na kuchoma kupitia moto wa Roho Mtakatifu makabrasha yote yenye kumbukumbu zangu katika jina la Yesu.

Kila uchawi ulio fanywa ili uje kuharibu maisha yangu na ubomoa kupitia damu ya Yesu.

Kila uchawi ulio fanywa ili uje kuniua nauvunja na kuuteketeza kupitia damu ya Yesu.

Kila uchawi ulio fanywa ili kuja kuiba mali zangu, nauvunja na kuubomoa na kuuharibu kupitia damu ya Yesu.

Kila uchawi ulio fanya kuja kuniharibia familia yangu, nausambaratisha na kuuvunja na kuubomoa katika jina la Yesu.

Kila neno la kichawi lililo tumwa ili kuja kuniharibia, kunidhihaki, kunitendea mabaya nalirudisha kwa aliye lituma katika jina la Yesu.

Kila uovu, uchawi, wanga, ndumba, ramli, yaliyo tumwa kuja kwangu navunja yote hayo kupitia damu ya Yesu na katika Jina la Yesu.

Nyota yangu ambayo wanaita nairudisha kupitia damu ya Yesu. Nyota yangu ya baraka nailinda na kuzungushia na kuizingira na damu ya Mwana Kondoo katika jina la Yesu.

Namteketeza yule mtu aliye kuja kuiba nyota yangu katika jina la Yesu.

Nateketeza mbinu zote wanazo tumia ili kuja kuiba nyota yangu katika jina la Yesu.

Nateketeza wivu wao, chuki yao, laana zao, maovu yao na kila aina ya uchafu ambao wanao kwa ajili yangu katika jina la Yesu.

Naizungushia na kuizingira nyumba yangu na damu ya Yesu.

Naishungushia na kuizingira familia yangu na damu ya Yesu.

Nashungushia na kuzingira maisha yangu yote na damu ya Yesu.

Navunja laana zote zilizo semwa na mabau zangu katika jina la Yesu.

Navunja laana zato ambazo zilisemwa bila ya mimi kufahamu, nazivunja na kuziharibu kupitia damu ya Yesu na katika jina la Yesu.

Narudisha kila mali walizo ziiba kutoka kwangu katika jina la Yesu.

Narudisha kila baraka walizo ziiba kwangu katika jina la Yesu.

Narudisha amani na upendo katika familia yangu.

Damu ya Yesu ipo juu ya Maisha yangu na inasafisha kila uovu, kila uchawi unaaribiwa na damu ya Yesu katika jina la Yesu.

Leo hii mtaiona Nguvu iliyopo katika damu ya Yesu.

Katika Jina la Yesu aliye hai ninaomba.

Amen

Amen.........
 
Hizi ni hadithi tu,japo pia siamini mambo ya uchawi.haingii akilini cain apewe kinga eti watu wasimdhuru wakati dunia nzima kwa mjibu wa bibilia ilikua na watu watatu tu,mamayake cain(yaani eve),babake(adam) na yeye cain.
sasa nani angeweza kumdhuru?

Hapo ndio ujue hizi dini zinatuchanganya, na kibaya zaidi eti kinga hiyo alipewa na Mungu ati watu wabaya wasimdhuru kina nani? Kiranga.
 
Last edited by a moderator:
Hapo ndio ujue hizi dini zinatuchanganya, na kibaya zaidi eti kinga hiyo alipewa na Mungu ati watu wabaya wasimdhuru kina nani? Kiranga.

Ikiwa shetani yupo na kapewa kinga na mungu, basi huyo mungu ni mbaya kuliko shetani.

Kwa sababu yeye ndiye anayemuwekea kinga shetani afanye anachotaka.

Tukimlaumu shetani, tumlaumu zaidi mungu.

Hapo ndipo unapoona habari za kuwepo kwa mungu na shetani ni habari za uongo tu.
 
Last edited by a moderator:
Ikiwa shetani yupo na kapewa kinga na mungu, basi huyo mungu ni mbaya kuliko shetani.

Kwa sababu yeye ndiye anayemuwekea kinga shetani afanye anachotaka.

Tukimlaumu shetani, tumlaumu zaidi mungu.

Hapo ndipo unapoona habari za kuwepo kwa mungu na shetani ni habari za uongo tu.

Umeeleweka vyema ingawa kuna watu humu ni wafia dini balaa ukiwaeleza kwa uwazi kama hivi wanakuletea hadithi za google ambazo zimewekwa na hao hao makanjanja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom