Udochi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 1,077
- 1,581
Tangu nianze job, kuanzia benki, vikundi, dukani, na kwa wana.
Baada ya hapo nikahamia microfinance, huko kwa kuwa hakuna kipengele cha kuzingatia kuwa ibaki 1/3 ya mshahara, ndo najilipua muda wowote.
Yaani akaunti yangu haijawahi kukaa kinyonge, bila deni. Imefikia hatua sasa nikiwa na madeni matatu najiona niko free sana, lazima nivute mikopo hata ya miezi 6 tu ili akili ichakate data.
Kwa sasa kausha damu zimenizoea kiasi kwamba nikichelewesha siku kadhaa, inabidi tu waelewe.
Nikimsikia mtu ana mkopo mmoja, halafu analalamika, namshangaa sana. Kimoyomoyo namwambia ''ukipewa mikopo yangu unazimia kenge wewe.''
Baada ya hapo nikahamia microfinance, huko kwa kuwa hakuna kipengele cha kuzingatia kuwa ibaki 1/3 ya mshahara, ndo najilipua muda wowote.
Yaani akaunti yangu haijawahi kukaa kinyonge, bila deni. Imefikia hatua sasa nikiwa na madeni matatu najiona niko free sana, lazima nivute mikopo hata ya miezi 6 tu ili akili ichakate data.
Kwa sasa kausha damu zimenizoea kiasi kwamba nikichelewesha siku kadhaa, inabidi tu waelewe.
Nikimsikia mtu ana mkopo mmoja, halafu analalamika, namshangaa sana. Kimoyomoyo namwambia ''ukipewa mikopo yangu unazimia kenge wewe.''