PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,230
- 17,813
Hiyo nyimbo nasikilizaga chorus tu
Sasa zikianza verse unaziba masikio au unafanyeje?
Hiyo nyimbo nasikilizaga chorus tu
Hilo Shimo unaweza kuliita kikojozwaHilo shimo lenyewe ndio sielewi linamaanisha nini ni shimo halisi au lina maana nyingine?
Hapana ni mwanasiasaHivi shilole nae ni msanii au anajivika usanii?
Sasa zikianza verse unaziba masikio au unafanyeje?
barnaba nae kashakua mkun.du tu,nnachokiskia huko ni tekno baby,tekno babyNimekuwa nikisikiliza kwa muda wimbo wa Say my name wa Shishi baby lakini sikuwa nikielewa kile kipande anachoimba Barnaba anaimba vitu gani,Leo nimefanikiwa kupata lyrics na bado nimeendelea kushangazwa!!!! Hivi Barnaba alimaanisha nini alipoimba 'Ni shimo la wengi,ye ndo shimo la wengi kuweka taka,kuweka takataka' Kama kuna mtu anakielewa kipande hiki anijuze kinamaanisha nini!