Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,650
- 830,498
hii kitu ni ujinga mtupu na ina sifa za kijinga inatunzwa miaka na miaka halafu inakuja kuondoka at a go in few seconds hakuna kitu tena
na tukumbuke bikira zipo nyingi tu si kwa wanawake pekee, na kila siku tunabikiri wote wanaume kwa wanawake ....umenunua soda ikifunguliwa ukawa wa kwanza kuinywa basi wewei ndio umeibikiri kwakuwa maana ya bikira ni KITU AMBACHO HAKIJAWAHI KUTUMIWA NA MWINGINE
Kwahiyo pombe tunakunywa bar vyakula tunavyokula popote mavazi nk nk tunavibikiri kama tu tunakuwa ndio wa kwanza kuvitumia
kwahiyo msibabaishwe na bikira ya mwanamke kwakuwa kama hukubahatika kumbikiri basi utabikiri vingine
na tukumbuke bikira zipo nyingi tu si kwa wanawake pekee, na kila siku tunabikiri wote wanaume kwa wanawake ....umenunua soda ikifunguliwa ukawa wa kwanza kuinywa basi wewei ndio umeibikiri kwakuwa maana ya bikira ni KITU AMBACHO HAKIJAWAHI KUTUMIWA NA MWINGINE
Kwahiyo pombe tunakunywa bar vyakula tunavyokula popote mavazi nk nk tunavibikiri kama tu tunakuwa ndio wa kwanza kuvitumia
kwahiyo msibabaishwe na bikira ya mwanamke kwakuwa kama hukubahatika kumbikiri basi utabikiri vingine