Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Kutokana na mishemishe za English Premier League wikiendi hii, pamoja na AFCON 2012 iliyoanza rasmi J'mosi, nikajikuta sijaoga tangu IJUMAA... Usiulize wapi, Dar hiyo! Tena hukuhuku katikati ya mji, na joto balaa.
Basi ile kuingia kwa bafu (lenye miksa choo humohumo), nikataka nighairi kuoga afta gogo heavy, lakini nikapiga moyo konde! Potelea mbali...
Nikaoga kiroho ngumu, kila nikipaka sabuni, kitu kinadunda, utadhani niko Tabata naogea maji ya chumvi. Mwisho wa siku ndoo ya maji ikakata kabla nitakate.
Ila nikamshukuru Mungu kwa kuwa zoezi lilikamilika, ila dah?
Nahisi nimepungua mwili...
Basi ile kuingia kwa bafu (lenye miksa choo humohumo), nikataka nighairi kuoga afta gogo heavy, lakini nikapiga moyo konde! Potelea mbali...
Nikaoga kiroho ngumu, kila nikipaka sabuni, kitu kinadunda, utadhani niko Tabata naogea maji ya chumvi. Mwisho wa siku ndoo ya maji ikakata kabla nitakate.
Ila nikamshukuru Mungu kwa kuwa zoezi lilikamilika, ila dah?
Nahisi nimepungua mwili...