johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,933
- 141,902
Huu ndio wakati ambao CCM tunapaswa kuwa wamoja chini ya Nahodha wetu Rais Samia ili aweze kutuvusha.
Hayati Magufuli ameumaliza mwendo na ameingia kwenye historia yatupasa tumuache apumzike kwa amani, nasi tuliobaki tuyatekeleze yale tutakiwayo na ilani ya CCM pamoja na maono ya Jemedari wetu mpya mama Samia.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Hayati Magufuli ameumaliza mwendo na ameingia kwenye historia yatupasa tumuache apumzike kwa amani, nasi tuliobaki tuyatekeleze yale tutakiwayo na ilani ya CCM pamoja na maono ya Jemedari wetu mpya mama Samia.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!