Sijajua huko wapo kama hawa!

Sijajua huko wapo kama hawa!

sindesunde

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2018
Posts
358
Reaction score
355
Kuna kuna jambo huwa linaniumiza sana na baadhi ya wanaume wenzangu sijajua ndio mnaitaga tabia za kike!

Unakuta mwanaume naamanaisha yule anajitegemea na kutegemewa unakuta kakaa sehemu na mamanzi anaongelea maisha ya kila anamjua bila sababu za msingi atotoshi unakuta anazungumzia mpaka maisha yake ya ndani ambayo kwangu mimi naona kama matusi!

Sasa nataka kujua hii ndio tabia ya wanaume wa dar maana inanichanganya mwanaume kukaa na demu kumjadiri yule ma mara yule hii tabia mara nyingi ninakutana nayo na watu wa mikoa ile ya kiswahili swahili mssada anaejua hii tabia anijuze!
 
Vumilia tu mdau maana siku izi wanaume wanawazidi wanawake kwa umbea...
 
INAWE ZA KUWA PIA ANAPIGWA DUDESHEE JAPO ANAVAA SURUALI NA SHATI KWA TABIA HAO WAMAMA NDIO WENZAKE
 
Ndiyo umeandika nini mkuu?
Aliyeelewa amsaidie ndugu yetu.
 
Back
Top Bottom