umepangwa wapi?thanks god
sijajua bado mkuu hii ni account angu nyingineumepangwa wapi?
Atiiii INVISIBLE umeyasikia haya??sijajua bado mkuu hii ni account angu nyingine
Tembelea Website yetu tumeweka mwongozo.Kwa wale wa kuapply second round ,TCU wanatakiwa kufanya nini? kama umekosa round ya kwanza, je kuna haja ya kulipia tena hela au system ikoje ndugu zangu