Baada ya kuonana na dakitari na kufanya vipimo nimekutwa sina tatizo la magonjwa ya zinaa ialkini nikakutwa na UTI nikapewa dozi ya sindano ya kuchoma kwnye mshipa kwa siku tano.
Kinacho nishangaaza ni kwamba sija piga mswaki kwa siku tatu na mdomo hauna harufu, nikienda kujisaidia choo hakina harufu, kifupi ni kwamba body ordur imeondoka, kikwapa sikisikii.
Je, hii inasababshw ana hizi Antibiotic niliyo chomwa nayo sindano na kama ndio itakaa kwa muda gani sababu nina nina furahia kuto toa harufu yoyote.
Kinacho nishangaaza ni kwamba sija piga mswaki kwa siku tatu na mdomo hauna harufu, nikienda kujisaidia choo hakina harufu, kifupi ni kwamba body ordur imeondoka, kikwapa sikisikii.
Je, hii inasababshw ana hizi Antibiotic niliyo chomwa nayo sindano na kama ndio itakaa kwa muda gani sababu nina nina furahia kuto toa harufu yoyote.