Siitamani Elimu ya Tanzania

Wazabanga kuku

JF-Expert Member
Dec 13, 2016
264
379
Hii elimu ya Tanzania ovyo tupu kukaa kote darasani zaidi ya miaka 20 kutafuta degree Leo hii sioni faida ya hii elimu wenzangu wengi nlioanza nao shule wengine waliacha Leo hii wametoboa najilaumu sana muda na PESA niliyotumia kusomea PESA nliyokopeshwa chuo kikuu Bora ningepewa tu na kufanyia Mambo mengine sina hamu na elimu mbovu ya Tanzania
 
Komaaa.... si ulikua unaooona sifa ulipokua unaambiwa.... safi wazabanga... usiwe km straton mpumbavu saana yuuule..... wenzake wanasoma yeh anahangaika na mpira... now yuko genk anapiga noti.
 
Back
Top Bottom