Siipendi hii tabia

Wewe umekosa heshima ya kiasili hata kama huyo jamaa kazingua, ukiwa ni mwanamke ambaye umefundwa ulitakiwa utake responsibility ya makosa yake we ungemlipia tu
Jamaa kalipa sio kwamba kalipiwa. Kosa lake kala msosi aliomwagizia manzi
 
Kabisa...sio kwenye bill tu,hata kwenye maongezi....unaeza kuwa unaongea topic mwenzio kaboreka we unaongea tu,lazima uwe makini kujua hiki ninachozungumzia kina muimpress mwenzio?au ndio napuyanga?first date ni hatari
Hapo lazima kwenye maongezi utie chumvi kidogo maana nyie hampendi ukweli sometimes.

All in all mdada kama angekuwa makini angegundua Toka mwanzo wakati abaulizwa anataka kwenda wapi. Bila shaka jamaa alivyopewa location hata kukubali yake ilikuwa ya shida, na hapo wanawake wengi panawashinda kung'amua
 
Alicalculate vibaya hesabu zake,,,yaani ye alivyoambiwa achague yeye akajua jamaa atakuwa nazo🤣
 
Wanawake kama wewe ni wa kupiga chini, mmekaa kiwaki na hamna shukrani...

Yaani chakula tu ndio kimekufanya kushindwa thamini muda mtu aliojitolea kuwa nawe, kukupeleka mahali ulipotaka na kukuacha uchague chakula utakacho...

Shubamiti zako...

 

Kwani alilazimishwa si angekua open kuwa hawezi ku afford iyo place
 
Na huyo ndio alikua awe mume wako huko mbeleni.
Shauri yako.
Kaacha mme kisa sahani ya chakula???? Naweza kukudhalilisha mbele za watu kimakusudi ili nipime ikitokea tukio siriaz lakudhalilisha utakuja kulibeba??? Unaweza kujifanya unampima mtu kumbe yey ndo anakupima kwenye mahusiano mapya chunga sana hatua zako,,,,,utakuja kujifanya unamuacha mtu kumbe yey ndo anakuacha
 
Tukiwatolea mifano ya USA wanatujibu twende tukaoe huko
Tatizo lenu mnataka wanawake kama wa US ila ninyi hamtaki kuwa kama wanaume wa US so hata hao hamtawaweza, hivi unafahamu kwamba kule kila kitu ni 50/50 siyo kutafuta hela tu hata kazi za nyumbani kupika, kuosha vyombo, kufua, kusafisha nyumbani, kulea watoto nk nazo ni 50/50, kule hakuna cha eti sijui haya ni majukumu ya mwanaume au haya ni ya mwanamke

Wote mnatoka kwenda kazini kutafuta pesa na mnasaidiana kulipia bills na pia kazi za nyumbani mkirudi mnasaidiana kwa pamoja, na kulea watoto ikiwemo kuwalisha na kuwaogesha mnafanya wote au mnaajiri nannies na hutasikia wanaume wao wakilalamika, sasa huku wanaume wanataka wanawake wawasaidie kutafuta pesa na kulipa bills ila wao hawataki kuwasaidia kazi za nyumbani

Na wakiajiri housegirls utasikia wanaume wanaanza kulalamika mara "oo wake zetu wamejisahau sana kila kitu wanawaachia housegirls" matokeo yake wanaanza kutembea na hao housegirls, sasa mke anayetoka kwenda kufanya kazi au biashara na kukusaidia majukumu yako atawezaje kujigawa kufanya na majukumu yake ya nyumbani, yani mnarudi wote toka kazini mmechoka ila mkifika mke tena ahangaike na kazi za nyumbani ila mume anaweka miguu juu eti anapumzika
 
Kijana umeongea ukweli kabisa. Hapo kwenye para ya mwisho umeiweka vizuri sana jamaa hakutakiwa kufanya hivyo alivyofanya
 
wanawake mnajidhalilisha sana! kwanini mpende kuhudumiwa kama maiti? why? shame on you !!!!!


JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Kama unataka hilo kaa nyumbani tulia tu hamna siku utalala njaa ila beki 3 hakuna. Ufanye kazi za nyumbani tu.
 
Mimi nilijua kwa sababu unaela utaongeza kingine
 
Ulikilipia hicho chakula unachooneshea ULAFI?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…