Signature zetu na matukio halisi katika maisha yetu

soul provider

JF-Expert Member
Jun 21, 2014
1,341
2,113
Salaam wakuu
Humu ndani baadhi ya wana Jf tumeweka signature zenye kubeba maana flan au kumbukumbu za matukio halisi katika maisha ya kila mmoja. hebu Leo tushare kile kilichopo nyuma ya pazia, signature yako inakumbusha matukio gani katika maisha yako?
Tukianza na mimi, nakumbuka miaka ya nyuma nikiwa chuoni kulikuwa na binti akimzungusha sana jamaa yetu kuhusu swala la kuwaSha video. Daily jamaa anapigwa kalenda demu hatokei getho. Siku hio kama zali wametoka discussion mida ya night jamaa kamkomalia binti kichakani akawasha video unexpectedly. Sasa kimbembe kesho yake mshkaji kafanya usafi wa nguvu getho ili ajiachie na mtoto kwenye usalama zaidi tofauti na kule kichakani kwenye manyoka. Demu kupigiwa simu aje, akagoma kabisa. Jamaa akabaki anatoa macho.
Hapo ndipo nilipopata kamsemo kangu AKILI YA MWANAMKE INATEGEMEA NA SIKU ALIVYOAMKA
 
nakumbuka nilipo kuwa darasa la saba nilitoswa na demu eti kisa sio sharobaro na ndio maana nikapata signature kuwa "mwisho wa usharobaro ni majukumu"
 
*i'm getting money now you will never hear me talking petty*

Hiyo ni baada ya kuanza kupata *good money* ya'll know m sayin!
 
Ever Smiling Kasie.....

Ni signature tangu nikiwa na kitambulisho cha Kasinde

Muda wote napenda kutabasamu na kucheka, hata avatar yangu inaonesha hivo. Hata huku duniani mie ni mtu wa kucheka na kutabasamu muda mwingi.

Daima dumu nitaendelea kucheka bin kutabasamu.... Kasie.
 
When we fail to live our highest impulses, something inside us dies, and that is the greatest loss ever.

Death is not the greatest loss, as we have nothing to lose to this normal life as we are up-leading to the new one ....

Just as Norman Cousins says:
Death is not the greatest loss in Life. The greatest loss is what dies inside us when while we live.
 
Back
Top Bottom