Size ipi 40, 50? chukulia Mh Dr Rev Rwakatare ni size 30
Kwa kweli nina kipaji cha kutambua wasifu wa watu.Kaazii kweli kweli. Usimfanye mdada wa watu akakata tamaa. Wewe mwembamba si unajua tabia zako? unahitaji The Boss au Chrispin akuambie una tabia gani?
Kweli JF is home of Great ThinkersBasi na hizi ndio madhara ya kuwa nao:
1. Atawasamehe ma ex- wake wote, hivyo kamwe hautokuwa peke yako, bali utakuwa umeongeza idadi tu.
2. Atawaomba msamaha hata ma ex- wake, ili aendelee kujivinjari nao daima.
3. Huenda pia akikuacha basi hutamuona tena maishani mwako
4. Ole wako ampate aliyempenda zaidi yako, utajuta kumfahamu.
5. Rejea namba 2 hapo juu.
6. Hata wakibanwa kwenye korido wanakubali yaishe.
7. Hivyo sio wachapakazi, na akimpata mtu hutamng'atua kamwe.
8. Hata akiitwa baa usiku hagomi kwenda hata siku moja, na akiambiwa fanya hivi, anafanya shap.
9. Hivyo, hata machokora wanapata access.
10. Hata kupika, kuoga, kutandika kitanda, nk.... wanasahau kwa urahisi mno.
The opposite.
Okay....leo mada imebadilika au ni ile ile?
Mhhh!
sasa mkuu, wakiwa #8 au kama hapo kwenye red, tabia zinatofautiana pia? au?
Kwa kweli nina kipaji cha kutambua wasifu wa watu.
FP hebu nielekeze wasifu wako nikutwange masifa yako mama.
Hahaha! Umestukae?Hahaha haaaaaaaa, mi huwa naogopa masifa Chrispin. maana wakaka nyie huwa mnawapa masifa wadada hata ambayo siyo yao, basi mnawafanya wawe na vichwa vikubwa na kujaa viburi kwa masifa yasiyo yao.
Hahaha! Umestukae?
Nilikuwa kimaslahi zaidi!
Kule jimboni kwetu tunahitaji mbunge makini. Nikuchukulie fomu? Ntakuwa kampeni meneja wako.Yaani kushtukia huwa ni jambo la kawaida sana kwangu, inabidi kusoma alama za nyakati sio kwenda kichwa kichwa tu.
Kule jimboni kwetu tunahitaji mbunge makini. Nikuchukulie fomu? Ntakuwa kampeni meneja wako.
Kweli JF is home of Great Thinkers
Meona sana tummmmeiona ehhhhhhhhhhhhh?
kamanyola bila jasho babu wewe, utukomewanawake wanene mkacheze taalabu!
Kumbe na wewe kibonge?thanks ze bossi kwa kutusifia,hatuzipatagi mara kwa mara hizo sifa.....:glasses-nerdy: