Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Siungeniambia nikuelekeze kwahiyo na kweli haziingiiHahaha
Nilikuwa sijui tuu namna ya kufunga
Siungeniambia nikuelekeze kwahiyo na kweli haziingiiHahaha
Nilikuwa sijui tuu namna ya kufunga
Usichezee watu wa chattel hawashindi kufanya ivyoKhaaaa mill4 kwa ajili ya samaki hawafiki hata 10
Basi sitaki ila weweUsichezee watu wa chattel hawashindi kufanya ivyo
Zinaingia za watu maalum tuuSiungeniambia nikuelekeze kwahiyo na kweli haziingii
Asanteeeeeeee mmojawapo wa watu maalumZinaingia za watu maalum tuu
Nitafanyaje na umekataa halafu unamtaka mtoto wanguIla mimi nini ?
Nijilete mimi mwenyewe tu sio?
Mtoto wako namtaka kweli ili tuunganishe families zetuNitafanyaje na umekataa halafu unamtaka mtoto wangu
Wewe apoooAsanteeeeeeee mmojawapo wa watu maalum
Kumletea mama mkwe zawadi hutaki mtoto wake unataka kumuwowaMtoto wako namtaka kweli ili tuunganishe families zetu
Ndiwooooooo nalifahamu hiloWewe apooo
Zawadi atatoa bayserKumletea mama mkwe zawadi hutaki mtoto wake unataka kumuwowa

Kutaka kumuwowa utake wewe zawadi akutolee bayser wapi na wapiii ukwe umekufa utamtesa mwananguZawadi atatoa bayser![]()
Kutaka kumuwowa utake wewe zawadi akutolee bayser wapi na wapiii ukwe umekufa utamtesa mwanangu
mahali umekula mke unaninyang'anya kisa zawadi kweli wewe mama mkwe mkorofi sana
Kwahiyo vipotabo ndio vinakuchanganyaSiungi mkono hoja.kuna mabonge mengine yamepitiliza.shapeless
Baadhi wenye shape zilizogawanyika nawaelewa sana.ila pia vipo vipotabo vina chura wa kishkaj viuno vyembamba ziwa konzi.Hakika wananichanganya zaidi
Vibonge oyeeeeAsante kwa kutupa promo, Oyeeeeee
Ukwe umeisha jamani utanitesea mwanangu![]()
![]()
mahali umekula mke unaninyang'anya kisa zawadi kweli wewe mama mkwe mkorofi sana
Hata vibonge lakini awe amegawanyika.shapless no thanksKwahiyo vipotabo ndio vinakuchanganya