Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Mungu ni mwema, kila kitu kinaenda poa!Inshallah mpendwa tunaendelea vizuri kwema lkn ?
Mungu ni mwema, kila kitu kinaenda poa!Inshallah mpendwa tunaendelea vizuri kwema lkn ?
Hatuogopi bhana kwani yeye amekujubu vp kuhusu hilo?Mipango hiyo vipiiiii ebu acheni uwoga hivi hamtaki kuonana na shunie kibonge cheusi mangala
Mwenzangu hata sijui!! Naona naitwa kwa masharti ikabidi nimjulie hali anieleze shida yake.Ni nani huyo dada
Nakumbuka alinijibu mimi tu mda wowote nikihitaji sema aliniambia wewe upo kwa wasukumaHatuogopi bhana kwani yeye amekujubu vp kuhusu hilo?
Kakwambia uende pmMwenzangu hata sijui!! Naona naitwa kwa masharti ikabidi nimjulie hali anieleze shida yake.
WoooiKakwambia uende pm
Duh! Kumbe mmepanga makubwa ivyo ndyo maana daily ananikazania nirudi ila soon tu nitageukaNakumbuka alinijibu mimi tu mda wowote nikihitaji sema aliniambia wewe upo kwa wasukuma
Mnataka watu tukienzi chama chetu cha chaputa sio??..mara wanajoto,mara wanamashavu kunako kipochi manyoya!!!








halafu mnato
Ndio uwahi kugeuka halafu uniletee samaki ba mkweDuh! Kumbe mmepanga makubwa ivyo ndyo maana daily ananikazania nirudi ila soon tu nitageuka
Kwahiyo wembamba sifa hizi hawana??halafu mnato
Hata kama wanazo wanene wamezidiKwahiyo wembamba sifa hizi hawana??
Kwangukumefungwa wapi kwake au kwako
Samaki wanakamatwa wanaobeba kwenye vikapu utanitolea faini million 4 kama yule mama?Ndio uwahi kugeuka halafu uniletee samaki ba mkwe
Khaaaa mill4 kwa ajili ya samaki hawafiki hata 10Samaki wanakamatwa wanaobeba kwenye vikapu utanitolea faini million 4 kama yule mama?
Kabisaaahivi Dada umefunga kweli
Aiseee sitaki kuamini kweli umeamua dadaKabisaaa
Nimeacha kama watu wanne tuu
HahahaAiseee sitaki kuamini kweli umeamua dada