Habar za humu wanajamvi, miaka ya hiv karibun kumekuwa na ongezeko la wadada wanene wenye matumbo makubwa a.k.a vitambi au kuwa na shepu zisizo za kuvutia ambazo watu hupendelea kuita umbo la simba.
Sifa za wanawake wanene ni
1.Wana Sura nzur sana lakin. wamenyimwa shape.
2.Wanajua kupenda kwa dhati wakiwa ktk
mahusiano.
3.Wanapenda kuvaa nguo za heshima kwa ajili ya kuficha maumbo yao na huwasaidia kuchumbiwa haraka.
4.Wanapenda harusi ili kuwaumiza vipotable /wadada wembamba.
5.Wanapenda kuwa ktk mahusiano na wanaume wembamba na mahandsome.
6.Hawapendi kuvaa nguo za kubana wanaogopa kuonekana shape zabo.
7.Simu zao zimejaa picha za self tu au pasport na ukiona picha za face zao lazma uchanganyikiwe akili
8.Ukiona mdada dp ya whastap avatar ya jf au dp ya IG anapenda kuweka self jua huyo ni Team kibonge.
9.Ukimuomba pic lazma akutumie za self na ukiziona lazma uchanganyikiwe
N. B
Siku ukikutana na mtu wa hivi usiache kunitag
Rais wa Team Vibonge Jf nimuunge kwenye Chama
Sent using
Jamii Forums mobile app