Sifa za wanawake/wadada wanene

yeah mwembambaaa kiasi bt mmmh n kama niko kwenye transition hv

bt nna baadh ya hzo tabia ingawa sio mnene.......

labda wahitaji kulishwa unenepe lol
 
Hayo yote ni bure Muhimu ni Utamu, Siwapendi wanawake wanene sijisikii raha
 
Hongera sana The Boss kwa kuwatetea wanawake wanene.

Baadhi ya hizo sifa kweli wanazo, but sio zote, Eg kumbukumbu, i see nina kumbukumbu vibaya mnooo lol.
 
Yeah thus true!
Big up fat ladies just make ur self looking good all the time!
 
VILE VILE WAVIVU, NA HAWANA AKILI SANA, NDIO MAANA USAU sau. Kazi za kiume hawawezi kuzifanya.
chunguza tu utaona wanawake wanene akili zao % 50 zimeenda na maji. Akili zao zipo kufikiria kula tu na sex zaidi.
 
VILE VILE WAVIVU, NA HAWANA AKILI SANA, NDIO MAANA USAU sau. Kazi za kiume hawawezi kuzifanya.
chunguza tu utaona wanawake wanene akili zao % 50 zimeenda na maji. Akili zao zipo kufikiria kula tu na sex zaidi.

wewe ni mwembamba bila shaka lol
 

eeeh haya The Boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…