Kimsingi huwa naamini huwezi pata vyote kwa mtu mmoja ila sasa kwa mimi naona aheri nipambane na namba 1 tu. Hao wengine waangukie kwenye michepuko hasa huyo namba 3.
Binafsi nimepata namba 3 kadhaa wakanipenda haswa ila niliwapiga mkasi nikatulia zangu kwa namba 1.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.