Sifa za mwanume wa kweli

The patriot man

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2015
Posts
1,124
Reaction score
1,457
Habari zenu wana jf leo ningependa watu ajue sifa za mwanaume halisi coz kuna mtu anajiita mwanaume ila hana sifa za kiume. Zifuatazo ni sifa za mwanaume wa kweli.
  1. Mwanaume wa kweli anakua na msismo yaani hayumbishwi
  2. Mwanaume wa kweli haongei sana yaani akiongea mara moja harudii na anaeleweka
  3. Mwanaume wa kweli lazima uwe unaishi kwako unategemewa na sio kwa wazazi kama Bado unaishi kwa wazazi usijiite mwanaume wewe unaitwa Mvulana.
  4. Mwanaume wa kweli lazima uwe na Maamuzi magumu.
  5. Mwanaume wa kweli lazima uwe ushampeleka mwanamke leba yaani uwe ushamtia mwanamke mimba uitwe baba.
  6. Mwanaume wa kweli ni mpambanaji' na hakati tamaa na hanung'uniki nung'uniki ovyo
  7. Mwanaume wa kweli hanuni
  8. Mwanaume wa kweli ni Jasiri,
ongeza na za kwako hapo sifa za mwanaume wa kweli. ukiwa na sifa karibu zote hapo wewe ndo unaitwa mwanaume je wewe unayejiita mwanaume unazo hizo sifa??.
 
Kuna mambo mawili umekosea 3 na 5

Naweza kuwa mwanaume na nikaishi kwetu.. Kama nyumba zipo mali zipo zakutosha kuna haja gani yakuhangaika kwenda mbali na nyumbani wakati tunajitosheleza.

Pia kumzalisha mwanamke sio kipimo cha uanaume. Kuna malengo, sio kuzalisha tu!

Vipi kuhusu alimpeleka mwanamke leba alafu kutunza mtoto kakimbia majukumu? Huyo nae ni mwanaume?
 
Kibongo bongo kuzalisha ni sifa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…