Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,849
- 37,555
ha haa haa, nimecheka jamani!
Kweli ndugu zangu wa kichaga mna kazi!
Hili wiki lenu mbona mtakoma!
Kweli ndugu zangu wa kichaga mna kazi!
Hili wiki lenu mbona mtakoma!
Wanawaita makobota yani wanafanya kazi kama trekta
We oa tu unataka sifa za nini ? kabila halina sifa ila kila mwanamke ana sifa zake !!!
Sema kama na wewe wa Rombo, pale keni aleni nikuache ghaframmh!!!!!!!!!!!!!
Sema kama na wewe wa Rombo, pale keni aleni nikuache ghafra
Sikuachi, kwanza mimi nimekupenda wewe na si Urombo au umachame wako....Uniache kisa mi Mrombo LOOH,we weee na kabumbu lote ninavyolisakata pale kati
afu uniache kirahisi hivyooo
Habari wana JF naomba kujua sifa za mwanammke wa rombo hasa wa sehemu ya keni . naomba kuwasilisha:A S kiss:
Sikuachi, kwanza mimi nimekupenda wewe na si Urombo au umachame wako....
Na kuna wengien wana tabia za kirombo au kichaga wakati wao ni wa MaketeThats my Babe.........,mambo ya kugeneralise tabia za makabila to Individuals wala haihusu......
Na kuna wengien wana tabia za kirombo au kichaga wakati wao ni wa Makete
wengine wamezaliwa Uzaramoni,wakakulia uzaramoni............,wanahold tu status ya asili yao
Umepona.....
Bado ni mgonjwa mahututi........,
Sasa unasubiri nini kujaza fomu ya appointment na Dr........
Naijaza naituma mda si mrefu
Hawajui kusema hapana. Wana digrii ya ugawaji