Sifa za mwanamke wa Kirombo

Sifa za mwanamke wa Kirombo

ha haa haa, nimecheka jamani!
Kweli ndugu zangu wa kichaga mna kazi!
Hili wiki lenu mbona mtakoma!
 
We oa tu unataka sifa za nini ? kabila halina sifa ila kila mwanamke ana sifa zake !!!

Well said mkuu. Waoaji hawatafutagi sifa za wachumba kwenye public, hao ni wakware au wasiojitambua. Uchumba is between the two iweje ushauri utafutwe kwenye mitandao? Hii tabia ya kufuatila makabila fulani fulani MMU ni ujuha uliokithiri. Mara machame, mara warangi, mara wairaqw (wambulu) na sasa warombo! Ujinga ujinga tu.
 
Habari wana JF naomba kujua sifa za mwanammke wa rombo hasa wa sehemu ya keni . naomba kuwasilisha:A S kiss:

Ulimpataje kwanza kabla ya kuuliza sifa zao kwa maana nijuavyo mimi hawatongozwi unakamata tu kwa nguvu sasa kama huyo wako ulimdate akakubali huyo siyo original mrombo original unakamata tu unat.........a baadae ndiyo mnaanza uhusiano sasa
 
Kuuliza si ujinga. Lakini labda angeulizia kwa wat wa hukohuko sio hapa mtandaoni. Ni vyema ukajua watu wa sehemu fulani walivyo kwani tabia zinatofautiana. Sehemu nyingine ni wachapa kazi kama hao Warombo, sehemu nyingine ni wavivu, kwingine ni majambazi, kwingine ni vihiyo, kwingine wanagawa sana, kwingine ni wachawi etc.
 
Acheni kutuzingua na dada zetu bana. wewe kama umefika bei oa kama vipi tuachie tutaoa wenyewe. alaaa!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom