Sifa za mume bora

Sifa za mume bora

anarudi nyumbani mapema .mshahara haugawi .hana kisirani.hana uchoyo.piya siyo malaya.anapenda dini.hanywi.pombe. anawapenda wazazi
 
mume/mke bora
mcha Mungu, mwenye mapenzi ya kwwli kwako na ndugu wanaowazunguka, asiye na kisilan...! yako mengi
lakn kubwa ni mcha Mungu
 
Poa mimi nina sifa ya mume bora nitumie namba zako
 
Utajua sifa hizo baada ya kuolewa...
Kwa sasa olewa kwanza ukishakaa na mume ndio utajua sifa za mme bora/ kilaza
 
Kila mtu ana sifa zake....Wengine kugeggeda vizuri..Wengine kutoa hela..Wengine kulima sana
 
Awe kama mm...narudia awe kama mm tafadhari...
 
asanteni jamani endeleeni kunijuza jamani nisije kosea

yote kosea, utajifunza na kurekebisha, lakini hili la kukosea kuchagua mwenza, ogopa, kwani uchaguzi ni mara moja na ukikosea itakugharimu maisha yako yote!
 
Awe anakupenda kwa dhati kama anavyojipenda mwenyewe na wewe uwe unampenda kwa dhati kama unavyojipenda mwenyewe. Hapo mtaunganishwa na Mwenyezi Mungu na kuwa kitu/mtu mmoja na hakuna kitakachoweza kuwatenganisha isipokuwa kifo! Kwenye dhiki na raha mtakuwa kitu kimoja.

NB: You both must be compatible. Haiwezekani kuwa na mume bora kwa wanawake wote au mke bora kwa wanaume wote. Aliye bora kwako (mume au mke) si bora kwa wenzio. Hivyo tafuta wa kwako ambaye naye atakuona ni mke bora kwake si kwetu, ebo! Yaani umemkosa hadi uje utuulize sisi huku Jf, sisi tutajuaje unapenda kipi kwenye midume? Tafuta kile roho yako inapenda wee binti, utakipata tu. Kila la heri. Humu Jf hutakipata. Mume/Mke sharti amchunguze mchumba wake kwa kina na kwa muda wa kutosha ili kujiridhisha kama anamfaa kuwa mume/mke wako kabla ya kuoana.
 
Back
Top Bottom