Sifa za husband material hizi hapa

Amini usiamini, nilichofeli ni namba 6 tu. kwenye namba 2 mke wangu nilimkuta bikra na ndio mama watoto wangu.
 
Muungwana umenigusa kiukweli,... Kuna mtu mmoja alikuwa na karibia sifa zoote ulizotaja hapo...! lakini sasa alipooa ikatokea ndani ya ndoa akawa amepatwa na tatizo la kiuchumi. Basi mkewake alimburuza kama kuku na kumuacha akamuacha.

Ivi nnavyoongea mke kafa kwa ukimwi mume yupo na afya njema tuu.., japokuwa bado hali yake kiuchumi haijawa nzuri kiviile,..jinsi alivyokuwa anampenda mkewe na familia yake hata kuoa tena hataki yuko barchelor tu.

Hizo sifa bila kuwa na hali kidogo nzuri ya kiuchumi kwa wanawake wa sasa Is nothing.
 
wanaume dizaini hiyo hawapati wachumba these days

wanawake wanataka sex kwanza ili ajue yaliyomo yamo au la

wengi wanakunywa pombe....na wengine wanavuta hadi bangi these days

wanawake wengi nyumba ya ibada ni siku ya kuolewa au kufa kuna msiba
Kumbe ndo maana mie sipati mchumba manake sifa alizotaja Zinduna zooooooote ninazo hadi nakera yaani!
 
Last edited by a moderator:
Hizi sifa za husband material kwa mwanamke mwente sifa zipi? Kwa wanawake wote au kwa wanawake wanaoendana sifa hizi?
 
Kuna baadhi ya points zina overlap ..sasa point namba 7awe na majukum kibao kanisan ..alafu bado awe msoma vitabu mbaaaaya alafu anafatilia mavitu yanayoendelea dunian.. alafu awe anafanya kaz za kumwingizia kipato.......apo apo akumbuke kukupigia simu mara kwa mara ....alafu awe mpoleeeee alafu asipende sex ...jamaaan huyu mtu labda robot ............si atakufa mapema...... ..nakubaliana na ww suala na kutokuvuta sigara na kutokunywa pombe na kwenda club kwel sio mazur...
 
kuna jamaa alijaribu ku pretend kuwa na sifa hizo ili ampate binti.. kumbe ni boooonge la mchepukaji, dah miezi mi3 ilikwa mingi aliumbuka. wanaume bana..!

hahaaaa....kweli kabisa
 
Sifa nyingi ulizoandika, ni za kufikirika na yawezekana ni sifa ambazo umeziandika kutokana na vile uonavyo wewe. Na kumbuka kuna wanawake wengine wengi tu hawapendi sifa nyingi tu kati ya hizo ulizotaja. Ninachokijua mimi, KILA MWANAMKE AU MWANAUME NI HUSBAND AU WIFE MATERIAL, ILA INATEGEMEA NA MATERIAL GANI UNATAKA.


Sent from my iPad using JamiiForums app
 
mimi nina sifa no 2 3 na 4 cc Honey Faith MAHAndow hizo zingine ni za kibwege mwanaume akiwa zoba namna hiyo hua munamuoneaga nyie mademu
 
Last edited by a moderator:
Namba mbili toa, zingine ninazo zote muulize Winifrida wangu anajua.
 
hhhh hizo no 2, 4, na 5, zitanifanya nisiwe kwenye list ya husband material, du aya asante.
 
wanaume dizaini hiyo hawapati wachumba these days

wanawake wanataka sex kwanza ili ajue yaliyomo yamo au la

wengi wanakunywa pombe....na wengine wanavuta hadi bangi these days

wanawake wengi nyumba ya ibada ni siku ya kuolewa au kufa kuna msiba
Duuh aisee!!jamaa nadhani ameandika bila kuangalia ulimwengu wa sasa tulionao wa ndoa zinafungwa kimazoea na uchumba wa miaka 6 mnagegedana huku mnachunguzana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…